Sipendi babu, huyu hahitaji shuga mami cz hela anazo za kutosha. Anahitaji binti wa kuzila hizo pesa na marupurupu. Ana bahati sina mdogo wa kike, ningemtuma akazilete hizo pesa tumalizie kuweka bati kwenye nyumba ya kijijini kwetu.
Hahahaha...... yoooote haya umeyaanzisha wewe hapo....sijui unafanya kazi kwa wahindi mshahara laki unusu? Unamwonea wivu dogo wa watu anakula 1m per month na garrrrr yake na digrrrr yake....hahaha...kaaaz kwel kwel.....Sie tusio na kitu mabinti lukuki wa kuoa tunawaona. LOL
babu bora huko kwa wahindi napata muda wa kuchakachua ...
Helicopter yangu ilikuwa na mechanical failure jana kwahiyo sikuweza kufika - Leo nitapita baadaye maana Mama_Enock ameniazima Ferrari yake..
asipoangalia tutamdai hela ya hayo matangazo aliyotuwekea!
mmmhhhh salama au macho yangu?Excuse my curiosity,but
Are you a Luo or Haya by any chance?
Ukinijibu nitarudi na ushauri
Hellow great thinkers,
Mi ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili) 23 yrs old niliyegraduate chuo mwaka jana mambo ya Logistics, I thanks God nilibahatika kupata kazi baada tu ya kumaliza chuo july last year kwenye international logistics company, na mshahara ni one million gross,
kama mnavyojua kwa wanaodeal na shipping na telecommunications industry.
Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi, as u know logistics sometimes unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at weekends and public holidays ( japokuwa napata sana hela za overtime na tax allowances), namshukuru mungu kwa hilo.
Sema kazi hii imenifanya nikose muda wa social things ambazo zinaweza kunikutanisha na mke wangu mtarajiwa like going outing, vijiweni, movies, na other social areas, bado still nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.
Nakaa home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house na ni first and last born in family,
kazini natumia usafiri binafsi so kukutana kwenye daladala na woman of my life haiwezekani, enzi za chuo na shule nilikuwa somasoma niliyeogopa mahusiano sababu ya concentration kwenye masomo.
Kukutana nae kazini ni ngumu sababu nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana na wengineo na sipo tayari kwa hao.
Ukisema kukutana facebook na social network zingine siamini hilo sababu najua ni maigizo yamejaa humo, nisaidieni wapendwa mawazo jinsi ya kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.
Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.
1m. Nani kakwambia unaneemesha? Afu binti yng ndo kwanza yupo chekechea, unataka Jk anifunge??Wewe si una binti mpe Mkata Kiu aoe ukiwa kama mama mkwe utaneemeka na huo mshahara wa 1m.
Weka vigezo ukutanishwe au ingie hapo juu kwenye live connection my be utapata waubani wako humo.Hellow great thinkers,
Mi ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili) 23 yrs old niliyegraduate chuo mwaka jana mambo ya Logistics, I thanks God nilibahatika kupata kazi baada tu ya kumaliza chuo july last year kwenye international logistics company, na mshahara ni one million gross,
kama mnavyojua kwa wanaodeal na shipping na telecommunications industry.
Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi, as u know logistics sometimes unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at weekends and public holidays ( japokuwa napata sana hela za overtime na tax allowances), namshukuru mungu kwa hilo.
Sema kazi hii imenifanya nikose muda wa social things ambazo zinaweza kunikutanisha na mke wangu mtarajiwa like going outing, vijiweni, movies, na other social areas, bado still nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.
Nakaa home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house na ni first and last born in family,
kazini natumia usafiri binafsi so kukutana kwenye daladala na woman of my life haiwezekani, enzi za chuo na shule nilikuwa somasoma niliyeogopa mahusiano sababu ya concentration kwenye masomo.
Kukutana nae kazini ni ngumu sababu nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana na wengineo na sipo tayari kwa hao.
Ukisema kukutana facebook na social network zingine siamini hilo sababu najua ni maigizo yamejaa humo, nisaidieni wapendwa mawazo jinsi ya kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.
Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.
Ina maana hata kanisani huendi? harusini?
Hellow great thinkers,
Mi ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili) 23 yrs old niliyegraduate chuo mwaka jana mambo ya Logistics, I thanks God nilibahatika kupata kazi baada tu ya kumaliza chuo july last year kwenye international logistics company, na mshahara ni one million gross,
kama mnavyojua kwa wanaodeal na shipping na telecommunications industry.
Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi, as u know logistics sometimes unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at weekends and public holidays ( japokuwa napata sana hela za overtime na tax allowances), namshukuru mungu kwa hilo.
Sema kazi hii imenifanya nikose muda wa social things ambazo zinaweza kunikutanisha na mke wangu mtarajiwa like going outing, vijiweni, movies, na other social areas, bado still nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.
Nakaa home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house na ni first and last born in family,
kazini natumia usafiri binafsi so kukutana kwenye daladala na woman of my life haiwezekani, enzi za chuo na shule nilikuwa somasoma niliyeogopa mahusiano sababu ya concentration kwenye masomo.
Kukutana nae kazini ni ngumu sababu nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana na wengineo na sipo tayari kwa hao.
Ukisema kukutana facebook na social network zingine siamini hilo sababu najua ni maigizo yamejaa humo, nisaidieni wapendwa mawazo jinsi ya kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.
Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.
Hahahahaha si anatupa jicho kwa mbali akasali pale gapco victoria kuna masista duu kibao wanatafuta wachumba palelabda anasali kwa kakobe
wanawake upande wao na vidume kwao...