Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yesHiyo ye pedal ina maana unaweza ukaendesha hata kama betri haina chaji kwa kuchanga kama hizi baiskeli za kawaida?
Thank you very much brother, hii ndio raha ya jamiiforumskuna zenye betri tatu,40km per charge,690k na za betri 4,70km per charge 850kView attachment 1122980
😂😂😂😂pamoja na uyo dada ?
hiii vp bei shngap??????????
habari wakuu,naomba mnisaidie ni mahali gani kwa dsm wanauza e bikes,na brand gani nzuri,imara na yenye spear zinazopatikana kwa wepesi,pia nisaidieni mawazo mengine kuhusu hizi ebikes kwa wazoefu..
asanteni ninawakilisha wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi kg ni uzito wa baiskel yenyewe au uzito wa mzigo ambao inabebaKg80 inauzwa laki sita600000 na kg100wanauza laki950000
View attachment 1125140
Una Bei in nikuachie hio ni ya kucharge iko vzr sana
Swali lina maana kubwa sana kwa mwenye kufikiria nje ya boxpamoja na uyo dada ?
Mi nadhani amemaanisha Bei ipo juu Sana.Swali lina maana kubwa sana kwa mwenye kufikiria nje ya box
Mkuu naomba sampo ya hzo za laki sita aiseee,hata kwa wasapu tu 0717098307Kg80 inauzwa laki sita600000 na kg100wanauza laki950000
Naomba sample pls wasap na ziko wapi 0717098307kuna zenye betri tatu,40km per charge,690k na za betri 4,70km per charge 850kView attachment 1122980