Napata wapi maziwa ya Simba anayenyonyesha?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu uzi kiboko wachangiaji mmejua kunichekesha!
 
Kama dawa ndio hiyo baki na vidonda vyako vya tumbo

Ni PM namba za huyo mshauri wako anipe ushuhuda kdg.
 
Mambo, nashida na maziwa ya Simba anayenyonyesha nimeelezwa yanatibu kabisa vidonda vya tumbo. Nimeambiwa yanayofaa zaidi ni ya simba aliyezaa hivi karibuni. Wapi napata simba nimkamue mie.
Hivi huwa pia yapo maziwa ya Simba asiyenyonyesha?
 
Hahahaa, yapo mkuu ndomaana mganga kamwambia ampelekee ya simba anaye nyonyesha. Maziwa ya simba asiyenyonyesha yanaweza kupatikana hivi 1. Simba anaweza kuwa ameachisha toto likiwa kubwa kama HAJI MANARA
2. Mtoto akifa.
Hivi huwa pia yapo maziwa ya Simba asiyenyonyesha?
 
Hapo ndio najikuta namnukuu rais wetu mstaafu JK "AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NAZA KWAKO"
 
Yapo mama...maziwa tu yapoooo
Unafikiri watoto was Simba wangeishije yapo
Ni ujasir wako tu
Ukifika unamsogelea huku umemkazia macho!!! Si atakuona nakikopo ataelewa shida yako
#jiamini





[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeeleweka kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…