Napata wapi tena salary slips baada ya kugoma kupatikana mtandaoni?

Napata wapi tena salary slips baada ya kugoma kupatikana mtandaoni?

Umuofia kwenu!!

bado hiyo document haipatikani mtandaoni mpaka leo. maisha yetu ni kukopa na kulipa kila leo.....mwezi julai unakuja, mwezi wa kusomesha vijana wetu. jana nimefika kwenye taasisi ninayokopea wanataka na salary slip ya mwezi mei 2021 na si vinginevyo. naipata wapi, dar au dodoma?!!!
Hayo siyo maisha ya kujivunia. Jitafakari. Nimesikitika umeandika kwa ujasiri na bashasha kabisa as if ndiyo maisha ya jamii pana. Take as individual life and rectify.
 
Hayo siyo maisha ya kujivunia. Jitafakari. Nimesikitika umeandika kwa ujasiri na bashasha kabisa as if ndiyo maisha ya jamii pana. Take as individual life and rectify.
sawa kiongozi, nitajirekebisha kama hili ni sehemu ya kosa!
 
sawa kiongozi, nitajirekebisha kama hili ni sehemu ya kosa!
Na taarifa kama hii si ya kuleta JF, kuna watu humu hawanaga habari na salary slip na wanaendesha maisha yao. Kuleta taarifa kama hii ni kujichoresha, just check with your HR or whoever close kutatua changamoto hiyo.
 
Na taarifa kama hii si ya kuleta JF, kuna watu humu hawanaga habari na salary slip na wanaendesha maisha yao. Kuleta taarifa kama hii ni kujichoresha, just check with your HR or whoever close kutatua changamoto hiyo.
yeah, inaweza kuwa kujichoresha wakati mwingine lkn kwa uzoefu wangu wa kuwa humu unaonyesha kuwa unapata majibu ya haraka na ya kina humu kuliko hata huko ulikonishauri niende. hata hao ambao hawategemei mishahara, unakuta wana ujuzi wa kina tu katika masuala mbalimbali ya kiutumishi (wengine walikuwa watumishi wakaacha)

tunakimbilia humu kupata majibu ya kina kiongozi,.......dhihaka za baadhi ya wadau hazikosekani lkn si kitu mbele ya michango ya maana ya wenye akili zao. km ni kosa la kisheria hapo sawa, lkn km ni kejeli tu za watu, ah acha tuendelee kuelimika humu mkuu
 
Back
Top Bottom