- Thread starter
- #21
sawaRekebisha account yako,salary slip zipo mtandaoni kama kawaida.Imebidi ni log in kabla ya kukujibu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaRekebisha account yako,salary slip zipo mtandaoni kama kawaida.Imebidi ni log in kabla ya kukujibu hapa.
ipi hiyo? waliotoa wadau hapo juu au?Mleta mada fuata miongozo...
Hayo siyo maisha ya kujivunia. Jitafakari. Nimesikitika umeandika kwa ujasiri na bashasha kabisa as if ndiyo maisha ya jamii pana. Take as individual life and rectify.Umuofia kwenu!!
bado hiyo document haipatikani mtandaoni mpaka leo. maisha yetu ni kukopa na kulipa kila leo.....mwezi julai unakuja, mwezi wa kusomesha vijana wetu. jana nimefika kwenye taasisi ninayokopea wanataka na salary slip ya mwezi mei 2021 na si vinginevyo. naipata wapi, dar au dodoma?!!!
sawa kiongozi, nitajirekebisha kama hili ni sehemu ya kosa!Hayo siyo maisha ya kujivunia. Jitafakari. Nimesikitika umeandika kwa ujasiri na bashasha kabisa as if ndiyo maisha ya jamii pana. Take as individual life and rectify.
Na taarifa kama hii si ya kuleta JF, kuna watu humu hawanaga habari na salary slip na wanaendesha maisha yao. Kuleta taarifa kama hii ni kujichoresha, just check with your HR or whoever close kutatua changamoto hiyo.sawa kiongozi, nitajirekebisha kama hili ni sehemu ya kosa!
kwa hakikaNa imani umepata muongozo.
Hahahahah mzee wa muongozo [emoji1]Mleta mada fuata miongozo...
yeah, inaweza kuwa kujichoresha wakati mwingine lkn kwa uzoefu wangu wa kuwa humu unaonyesha kuwa unapata majibu ya haraka na ya kina humu kuliko hata huko ulikonishauri niende. hata hao ambao hawategemei mishahara, unakuta wana ujuzi wa kina tu katika masuala mbalimbali ya kiutumishi (wengine walikuwa watumishi wakaacha)Na taarifa kama hii si ya kuleta JF, kuna watu humu hawanaga habari na salary slip na wanaendesha maisha yao. Kuleta taarifa kama hii ni kujichoresha, just check with your HR or whoever close kutatua changamoto hiyo.
sina tatizo hata kidogo na title, karibu tena!!Mwalimu mbona ipo
Ya june ndio haipo kwa sasa,
Au mnasemaje wadau?
Me ata ya May bado.Ya june ndio haipo kwa sasa,
Au mnasemaje wadau?
bado mi pia siipati yaani!Me ata ya May bado.