Napata wapi Tiles za kisasa kwa bei nzuri!

mwaps

Senior Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
157
Reaction score
127
Naomba mnisaidie wadau mnisaidie sehemu ya kupata tiles nzuri kwa bei nafuu.
 
Tiles nzur inategema unataka size gani..
Me nauza tiles..
Unataka size gani mkuu?
Au kwa mawasaliano nichek..0623152344
 
#kelv

NAMNA YA KUWEKA/KUPIGA TILES BORA

Cha kwanza kabisa Ukubali gharama!

Cha pili uwe na eneo la kupiga hizo Tiles

Cha Tatu uwe na hizo Tiles

Cha Nne uwe na mchanga na Cement

Baada ya kukamilisha hayo tunaanza ujenzi wetu wa Tiles....

Tukianza na Gharama hapa inategemea unataka aina gani ya tiles,

Mara nyingi kama ni Nje basi tunashauri kutumia ceramic tiles,....hizi Ni nzuri kwa nje na Imara kwa sababu hazipauki kwa Jua wala mvua....

Kama ni ndani unapaswa kutumia granite na nyinginezo,...

Na tiles hutofautiana size kuna 30×30..., 40x40,.....50x50,.....60×60,..... 40×50, n.k
Mara nyingi Tiles za ndani chini (Floo tiles hushauriwa size ya tiles iwe na uwiano sawa yaan size yake either iwe 40 x40 au 60 x60 hata 50×50, pia hutegemea wewe muhusika unatakaje.

Hizi ni size za Tiles na Bei zake kwa Dsm

FLOOR TILES

¬ 30X30 =17PCS = 1.7SQM = TSHS 16,500

¬ 40X40 =12PCS = 1. 92SQM = TSHS 18,500

¬ 50X50 =7PCS = 1.7SQM = TSHS 28,500

¬ 60X60 =4PCS = 1.44SQM = TSHS 29,500

¬ 80X80 =2PCS = 1.4SQM = TSHS. 33,000

2.WALL TILES

¬ 25X30 = 16PCS = 1 SQM = TSHS. 10,500

¬ 25X40 = 15PCS = 1.53 SQM = TSHS. 16,500

¬ 25X60 = 8PCS = 1.6 SQM = TSHS 26,500

¬ 12X60 = 25PCS = 1.44 SQM = TSHS 29,500

Bei hutofautiana na wapi inatoka kuna Spanish tiles, UEA tiles na zile hapa kwetu Tz ambazo nyingi zinatoka Andika.

Kwa mahitaki Ya Fundi mtaalamu wa Tiles nicheki kwa namba Hizi

0789005562

Au

0719205562

Gusa link kuja wasap [emoji116][emoji116][emoji116]

Wa.me/255789005562

Hapo ongeza na grout kama unataka nyumba iwe nzuri, weka na spacing tiles , bei ya fundi ni maelewano ila mara nyingi SQm1 huwa ni Elfu 5 mpaka Elfu 7

By

Kelvin HkView attachment 2591748View attachment 2591746View attachment 2591747
 
Tiles sijazipenda ila nimependa kazi ya aliyezibanfika kwa sababu hakuacha nafasi kubwa katikati baina ya tile na tile... Safi
 
Hizi ni Bei ya Dar mkuu au ?
 
Tiles 40by40 kwa 18k ni za kampuni gani hizo? Mbona bei imepoa sana?
 
#Kelv

Aweeeee! Kuna offer hapa kwa Dsm Morogoro Tanga na zanzibar ujenzi zone

Urembo wa dirisha kwa Tsh 25000

Urembo wa nguzo kwa Tsh 30000

Urembo wa Kona kwa Tsh 25000

Wahi chap ni offer Ya Wiki 2 Tu

Ni #Dsm #Tanga #Morotown #Zanzibar


Kwingine kote Njoo na offer Yako Inbox au Wasap
Pia tunatengeneza Tv wall kali kwa bei nafuu kabisa!

0789005562

0719205562


Wasap link

Wa.me/255789005562
 
Detailed analysis, safi sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…