Napataje malighafi ya mchikichi, nataka kuanza kukamua Mafuta

Mkuu umewaza idea bora sana hadi sasa.. Mimi nafanya hiyo kazi kwa muda mrefu sasa. Lakini pia nasaidia baadhi ya watu wanaopenda kuweza kuanzisha..

Kama unapenda na upo. Serious wasiliana nami na ikiwezekana kuonana notakupa muongozo uliokamilika sana.

Tumia mawasiliano haya kuweza kunipata: 0682836463 sinaga choyo na fursa.

Lakini pia ingia Instagram tafuta account inaitwa @efox_industries utapata msaada pia. ( Login • Instagram ).

Ila usisahau kunipogia mkuu.
 
Boss naomba kuwasiliana na wewe.. Namba zangu hizi hapa: haya WhatsApp pia mkuu: 0682836463
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…