Ngajilo255
Member
- Jul 8, 2020
- 58
- 71
Mkuu umewaza idea bora sana hadi sasa.. Mimi nafanya hiyo kazi kwa muda mrefu sasa. Lakini pia nasaidia baadhi ya watu wanaopenda kuweza kuanzisha..Habarini Guys.
Nimepata idea ya Kukamua Mafuta ya Mawese au ya Mchikichi ila sasa maligafi ya uhakika na bei rafiki ndio najaribu kuwaza.. inapatikan wapi kwa wingi??
Kama una uzoefu wa Ukamuaji wa Mawese na Mchikichi naomba unisaidie kujua yafuatayo:
1. Mkoa wenye uhakika wa Mchikichi na Mawese!
2.Gharama za mashine ya Kukamulia yakuanzia siyo zile kubwa sana
3. Changamoto za kuyafanyia refine na hatuazake..
Asanteni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama unapenda na upo. Serious wasiliana nami na ikiwezekana kuonana notakupa muongozo uliokamilika sana.
Tumia mawasiliano haya kuweza kunipata: 0682836463 sinaga choyo na fursa.
Lakini pia ingia Instagram tafuta account inaitwa @efox_industries utapata msaada pia. ( Login • Instagram ).
Ila usisahau kunipogia mkuu.