sikuwahi fikiria kama una akili mbovu hivi we Binti wa Misungwi😅😅😅😅Nasikia bangi inalipa kichizi, uwe tu na koneksheni na
Ziko nyingi lakini huko mtandao wamezi 'condensed'.Ni zipi sifa za mjasiriamali aliyefanikiwa?
Zingine🫴
Nashukuru Kwa hizi..Ziko nyingi lakini huko mtandao wamezi 'condensed'. 1. Persuasion and networking ,(namna ya kuongea na mteja hadi akakubali kununua huduma yako 2. Commitment to work contract and job well done, (mkataba na mteja ukimuahidi mtu saa 5, akute tayari kama ni bidhaa ama kazi ya ufundi iwe nzuri 3. Competing against your self, (ufanye vizuri kuliko jana) 4.Initiative, (kufanya jambo bila kusukumwa na mtu yeyote na likafanikiwa a.k.a kujiongeza 5. Confidence, (kujiamini) 6.opportunity seeker,(kuzitafuta, fuata fursa). 7.humble, (uwe tayari kukosolewa na kupata mrjesho kwa watrja kwa huduma zako
Ziko nyingi mimi 1986-1987 nilijifunza 25 zipo zilizo ongezeka kutokana mabadiliko ya dunia
Source ni mimi mwenyewe, mimi naandika kitabu cha ujasiriamali fikirishi ndiyo maana nabishana hapa kwa hoja navijua vitu vingi kuhusu, (entrepreneurship skills), naandika kwa kugha mbili kwa kimombo na kiswahiliNashukuru Kwa hizi..
Unaweza ukanisaidia source ya material ya ujasiriamali, nahitaji nijifunze zaidi kuhusu engo hii .
Kweli bro inalipasikuwahi fikiria kama una akili mbovu hivi we Binti wa Misungwi😅😅😅😅
inalipa ila sasa wakizulumiana huko utajua hujui yaaniKweli bro inalipa
Entrepreneurial competencies are the skills, knowledge, and attributes that enable an individual to effectively identify and pursue business opportunities. Here are some key competencies:Je unazifahamu sifa za mjasiriamali aliye fanikiwa, (entrepreneurial competences) well defined as traits, kama huna hata sifa moja huwezi kufanya biashara yoyote pia ili uwe na biashara shindani kitaalamu unashauriwa uwe na andiko la mpango wa bishara yaani ufanye makosa kwenye makaratasi badala ya kwenye biashara
Also you have to realize that there will be uncertainty all through in business catalyzed by disaster, information and people, (Normal and smart people), therefore there is a need of intelligent monitoring of current trends, hence, create strategies to overcome uncertainty in business and problems around, you, (us)Entrepreneurial competencies are the skills, knowledge, and attributes that enable an individual to effectively identify and pursue business opportunities. Here are some key competencies:
1. Opportunity Recognition: The ability to identify and evaluate business opportunities in the market.
2. Risk Management: Understanding how to assess, mitigate, and take calculated risks to capitalize on opportunities.
3. Financial Literacy: Knowledge of financial principles, including budgeting, forecasting, and financial management, to make informed decisions.
4. Networking Skills: The ability to build and maintain relationships that can provide support, resources, and partnerships.
5. Decision-Making: Skills in making informed choices quickly, often under pressure, to drive the business forward.
6. Innovativeness: A creative mindset that encourages new ideas, products, and solutions.
7. Adaptability: The ability to adjust strategies and approaches in response to changing market conditions.
8. Leadership: Skills in motivating, guiding, and managing a team effectively to achieve business goals.
9. Negotiation Skills: The ability to reach mutually beneficial agreements with clients, suppliers, and partners.
10. Time Management: Efficiently managing time and priorities to enhance productivity and achieve objectives.
Developing these competencies can significantly enhance an entrepreneur's ability to succeed in a competitive environment.
Afisa biashara anakuja kufunga biasharaAchana na perfection na procrastination,...... hilo tatizo naona wazi linakumaliza,....pia limewakimbiza waajiriwa wengi kwenye BIASHARA....kabla ya kufanikiwa kuna kufeli tena zaidi ya mara moja,...
note;. hauhitaji wazo sahihi kwa asilimi 100 wala kwa umaridadi mkubwa kama ulivyo andika mwenyewe,...
Sipendi kuandika sana na wala sio mwandishi mzuri,..ila ntakupa mfano wa biashara yangu kwa ufupi sana,....
Biashara yangu ya tatu kuanzisha, baada ya uchunguzi wangu nilibaini nahitaji mtaji usiopungua 2.5 mil kwa kima cha chini kabisa kuanza,....
Nikiwa namalizia kukusanya huo mtaji,..shida kubwa ya afya ikajitokeza kwa mpendwa wangu,..ikakatika 1.3mil...
Kumbuka huo mtaji nimekusanya ndani ya miaka 2....
Sikukata tamaa, kwani kuvunja mpango, au kukopa haikuwa inawezekana kwangu,...nikasema ntaajaribu hivyo hivyo,...kazi niliyofanya kukusanya hiyo hela ni za kuunga unga sana,...
katika harakati za kuanza biashara nikafanya makosa na kupoteza zaidi ya laki nne...(UGENI NA WASIWASI),...
So, mpaka naanza biashara ni kama nilianza na laki saba tu,..pesa ambayo hapo awali niliona haitoshi kabisa kuanza na kuendesha ile biashara,..
japo kwa ugumu flani, ilienda na kusimama,...
Note; huitaji perfect plan, or idea,....,...
mengi utajifunza hukohuko,..kikubwa uwe open minded,..mwenye malengo, uthubutu na kuto kukataa tamaa,....
Hako ka 1.5 unako kalinda linda kwa kutafuta perfect idea,..usije ukashaangaa unaanzisha biashara na kakaisha ndani ya mwezi tu mtaji umekata na watu wa mapato wanataka chao,....
all the best...
kawaida yao hao washenzi,..hawaangalia kumsaidia mfanyabiashara wao ni uadui , wanaona mfanyabiashara anafaidi sana,..Afisa biashara anakuja kufunga biashara
Tanzania ili utoboe ni juhudi zako mwenyewe Siyo kwa msaada wa mifumo iliyopo ambayo imelala, (unworking government machineries), wanayoiongoza ni ..............kawaida yao hao washenzi,..hawaangalia kumsaidia mfanyabiashara wao ni uadui , wanaona mfanyabiashara anafaidi sana,..
Hayo ni sehemu ya elimu ya mtaa masta, ruka nayo. Huwezi kuifananisha na mambo ya kuchora mfumo wa upumuaji wa panzi..ama kukariri nchi inayoongoza uvuaji wa samaki duniani ni Norway..sijui mambo ya kusolve hesabu kwa kutumia four figure..mfumo wa elimu wa hovyo kabisa!Lakini, Kuna madarasa ya biashara.
Vipi hayasaidii🥱
Kwa hiyo mtalaam, ukishamaliza kuuza zako accessories za simu, ukapata njaa ukataka kula ubwabwa, unau-download? Maana sidhani kama kila mtu ata afford kuwa IT guyUmeshafeli, utajiri upo kwenye technology, kuanzia kuuza smartphone na accessories zake, computer , printer photocopy machine , na electronic devices zingine, kutengeneza Software / Apps za kutatua challenge za wafanyabiashara, kwa mfano software ya kumonitor mauzo, sales etc. Au unaweza kusupply software ambazo zimeshatenge ezwa na makampuni makubwa kama vile SAP , Oracle , Ulinzi na usalama wa mitandao (CyberSecurity ), Digital Marketing etc
Mpaka lini mtakalia biashara za kizamani zisizokua na ubunifu wowte?????
Jambo lingine mkuu, jitahidi uweke nguvu kwenye ku-act badala ya kujifunza. Kujifunza ni vizuri, ila kujifunza sana you may end up being like many of our professors, elimu mlima mafanikio kichuguu, the reason why, they don't act on what they already know. You may succeed in anything provided you have 70% info about it, forget 100%, it's irrelevant. Waliofanikiwa ni watendaji, not thinkers, achia thinking na kujifunza sana to academicians.Nashukuru Kwa hizi..
Unaweza ukanisaidia source ya material ya ujasiriamali, nahitaji nijifunze zaidi kuhusu engo hii .
Jamaa afahamu kwamba hitaji muhimu la kwanza kwa binadamu ni chakula alafu mambo mengine sasa ndio yana fuataKwa hiyo mtalaam, ukishamaliza kuuza zako accessories za simu, ukapata njaa ukataka kula ubwabwa, unau-download? Maana sidhani kama kila mtu ata afford kuwa IT guy
I understand you..Jambo lingine mkuu, jitahidi uweke nguvu kwenye ku-act badala ya kujifunza. Kujifunza ni vizuri, ila kujifunza sana you may end up being like many of our professors, elimu mlima mafanikio kichuguu, the reason why, they don't act on what they already know. You may succeed in anything provided you have 70% info about it, forget 100%, it's irrelevant. Waliofanikiwa ni watendaji, not thinkers, achia thinking na kujifunza sana to academicians.