stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Bado unatumia opera mini 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unatumia opera mini 😂
Niliweka over kakaHizo shot on Target uliweka OVER au UNDER?
Natumanini ndio niliona kaka iyo shoot achana na waliyokataa goliBado unatumia opera mini 😂
toka niijue 2016 sijawahi kuiacha.Bado unatumia opera mini
Wewe acha kubeti njoo kijijini tulimeJamani kama nilivoeleza Pao juu nilibetia shoot on tergert za CRYSTAL PALACE vs BANLEY sasa Kuna sehemu nyingine wameonesha 6.0 na nyingine 6.1 sasa nilivo watafuta wamesema nitafutee full match tuhesabu shoot on tergert naipataje full mechii msaada jamani na pili kama hatuaelewana kampuni niliyo betiaa naitaji kujua balaza la malalamiko ya betting linaitwaje msaada wenu tafadhali
Uliweka dakika zote 90 au uliweka kwa itoe kwa kipindi cha kwanza ama cha pili pekee?Niliweka over kaka
Niko kijijini mbona na siachi kubetiWewe acha kubeti njoo kijijini tulime
Niliweka dakika zote 90 sasa niliwasiliana na huduma kwawateja ndio wwakanambia nitafute mechi yote tuzihesabuuUliweka dakika zote 90 au uliweka kwa itoe kwa kipindi cha kwanza ama cha pili pekee?
Niliweka dakika zote 90 sasa niliwasiliana na huduma kwawateja ndio wwakanambia nitafute mechi yote tuzihesabuu