Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Hata zahanati ya karibu yako zipo na hakuna masharti kajiekeze TU, waambie ulilewa ukapiga samaki changu.Habari Wana Jamii Health. Siku Ya Jana Nimejikata Na Wembe Wakati Nikijaribu Kuutupa Ili Usije Dhuru Mtu. Hapa Karibu Kuna Watu Wameathirika, nimejawa na Uwoga Napataje PEP?
Masaa Yanayoyoma Kuelekea 72 Hii Ni Saa Ya 36. Nipo Dar Es Salaam. Upatikanaji Wake Ukoje
Ni Bure Au Gharama Zake ZikojeHata zahanati ya karibu yako zipo na hakuna masharti kajiekeze TU, waambie ulilewa ukapiga samaki changu.
Bure nenda haraka usikae kusoma comment hapa ukajutia maisha yako yoteNi Bure Au Gharama Zake Zikoje
...vinakufa damu ikikauka ila vikipata damu (nyekundu kama jezi za timu ile?) mnara unasimama tena vinasoma 5G.!Huo Wembe uliukuta Una Damu Mbichi? Au ninwembe Uliokaa Muda Mrefu Ardhini?
Maambukizi Ya HIV au Kirusi Chake hakiishi Kwa Muda Mrefu sana Kwahiyo Uwezekano wa Wewe Kuugua ni Mdogo. Ingawa kama una Wasiwasi sana Kapambane na PEP hizi Dawa si Lele mama na Zinaumiza sana Mwili
Weka dau lako zitakufikia mpaka mlangoni kwako .Habari Wana Jamii Health. Siku Ya Jana Nimejikata Na Wembe Wakati Nikijaribu Kuutupa Ili Usije Dhuru Mtu. Hapa Karibu Kuna Watu Wameathirika, nimejawa na Uwoga Napataje PEP?
Masaa Yanayoyoma Kuelekea 72 Hii Ni Saa Ya 36. Nipo Dar Es Salaam. Upatikanaji Wake Ukoje
Nimejikata Na Wembe Wakati Nikijaribu Kuutupa Ili Usije Dhuru Mtu.
OkWe sema umepiga kavu, acha kuzunguka usaidiwe
Akili Zikizidi Sana Kichwa Huwa KizitoKiongoz amechana mkeka hlf anaanza urongo.
Hatujazaliwa jana sisi.