Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Yule demu hana ngoma wamekudanganya umeingia mkenge unataka ukameze PEP......haya wahi kituo Cha afya kilichokaribu wakikupatia dawa zingatia muda wa kumeza na lishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadanganya huyu sio wewe atakua kala mtu alieng'atwa na mbuzi anaogopa kusemaUsiogope ili upate maambiki lazima wanasema uwe ume ingiza kiwango angalau 2 micromyu ya infected blood kwenye blood stream yako sasa kwenye wembe sdhani Kwa muda iliyokaa chini isiwe imekauka kabisa na virus kufa
Nashukuru Mungu Nimepata PEP Ingawa Maswali Yalikuwa MengiHabari Wana Jamii Health. Siku Ya Jana Nimejikata Na Wembe Wakati Nikijaribu Kuutupa Ili Usije Dhuru Mtu. Hapa Karibu Kuna Watu Wameathirika, nimejawa na Uwoga Napataje PEP?
Masaa Yanayoyoma Kuelekea 72 Hii Ni Saa Ya 36. Nipo Dar Es Salaam. Upatikanaji Wake Ukoje
Nikuogope Ww Nakujua KwanAnadanganya huyu sio wewe atakua kala mtu alieng'atwa na mbuzi anaogopa kusema
Shukran Mkuu NitazingatiaYule demu hana ngoma wamekudanganya umeingia mkenge unataka ukameze PEP......haya wahi kituo Cha afya kilichokaribu wakikupatia dawa zingatia muda wa kumeza na lishe
Umebakiza masaa 12 mkuu nenda zahanat chap ego haisaidii kituNikuogope Ww Nakujua Kwan