Napataje PEP nijinusuru

Napataje PEP nijinusuru

Yule demu hana ngoma wamekudanganya umeingia mkenge unataka ukameze PEP......haya wahi kituo Cha afya kilichokaribu wakikupatia dawa zingatia muda wa kumeza na lishe
 
Usiogope ili upate maambiki lazima wanasema uwe ume ingiza kiwango angalau 2 micromyu ya infected blood kwenye blood stream yako sasa kwenye wembe sdhani Kwa muda iliyokaa chini isiwe imekauka kabisa na virus kufa
Anadanganya huyu sio wewe atakua kala mtu alieng'atwa na mbuzi anaogopa kusema
 
Habari Wana Jamii Health. Siku Ya Jana Nimejikata Na Wembe Wakati Nikijaribu Kuutupa Ili Usije Dhuru Mtu. Hapa Karibu Kuna Watu Wameathirika, nimejawa na Uwoga Napataje PEP?

Masaa Yanayoyoma Kuelekea 72 Hii Ni Saa Ya 36. Nipo Dar Es Salaam. Upatikanaji Wake Ukoje
Nashukuru Mungu Nimepata PEP Ingawa Maswali Yalikuwa Mengi
 
Yule demu hana ngoma wamekudanganya umeingia mkenge unataka ukameze PEP......haya wahi kituo Cha afya kilichokaribu wakikupatia dawa zingatia muda wa kumeza na lishe
Shukran Mkuu Nitazingatia
 
Back
Top Bottom