NAPATAJE PIKIPIKI YA MAMA, Dkt.

NAPATAJE PIKIPIKI YA MAMA, Dkt.

Mpigie simu choice variable au nenda ofisi za ccm ukajipendekeze Kwa mama
 
Mtaani naona kuna pikipiki nyingi zenye nembo ya ccm na picha ya generali mkuu
Basi kama Jobless nikawiwa kuomba msaada namna ya kupata hicho kitendea kazi ili nami nijipatie kipato
NATANGULIZA SHUKRANI.
.
Mimi nahitaji kama 100 nizipige rangi niuze hata laki 5 tu kwa bei ya jumla kama China.
 
Mtaani naona kuna pikipiki nyingi zenye nembo ya ccm na picha ya generali mkuu
Basi kama Jobless nikawiwa kuomba msaada namna ya kupata hicho kitendea kazi ili nami nijipatie kipato
NATANGULIZA SHUKRANI.
.
Swali zuri kabisa .
Awali ya yote nipende kulisifu na kuliweka mawingu jina la mama Samia ,daktari ,mheshimiwa na malaika aliyeshushwa kutuongoza .

Sanjari na sifa kedekede zisizoweza kumithirika za amiri jeshi mkuu asiyeshindwa na Vita yoyote ,nipende kukujulisha kuwa mama Samia ni mwamba na anatosha .

Sasa nijikite kwenye mada kwa kusema kuipata ni rahisi ,uwe na kadi ya CCM walau kwa mwaka mmoja ila uwe kiongozi wa chama tukufu na kisicho na mawaa ,chama Cha mashujaa wasiopigwa popote ulimwenguni hapa CHAMA CHA MAPINDUZI .

Kwakumalizia niseme ahsante mama mkuu ,raisi unayefaa kuwekwa katika picha kila Kona ya mtaa kila mtu aione picha yako kwa wema na maajabu yenye kheri unayoyafanya hapa duniani .

Itoshe kusema ahsante mama .

Hakika machawa mna kazi ngumu Sana nimejaribu kuwa chawa kwa maneno Ila najiona kabisa kuwa si mda nitakuwa kichaa
 
Back
Top Bottom