nimeona mchango wako kidogo nikimbie kwamba mama mkwe vipi tena humu.Hahhahaha bamkwe bwana
Habar wakuu,
Naombani mnisaidie tatizo langu, skuizi za karibuni nmekuwa na mhemko mkubwa sana wa kuwa na hamu ya kufanya ngono napatwa na hisia kali sana mpaka nashindwa kujizuia na isitoshe sina mwanamke wala mchumba, hali hii inanipelekea adi kutamani kufanya punyeto kuangalia video za uchi na akili yangu masaa 24 inawaza ngono,
Nyege zinanipelekea nafika hatua mpaka natongoza ata wanawake ambao sikulajia kabisa, ambao tumezoeana kama marafiki,
kiukweli hali hii siipendi inanitesa ndio maana nmekimbilia huku kupata japo ushaur wenu .
Asnten.
deto, ariel,maq au omo zinasaidia sana ruka nazo au kama ni ghali sana chukua hapo jirani kwa mura kipande cha sabuni ya magadi cha sh100,sipendelei malaya bora npige puchu
Keep busy bro, kama bado unasoma basi soma kwa juhudi, engage in extracurricular activities zilizopo mtaani kwako cheza boli na wana, jikite kwenye ujasiriamali( ukiweza), kaimbe kwaya ( [emoji23]), acha kujifungia ndani.tatizo sipati na sina mda wote nashinda tu hom
dah sabuni ya magadi nusu kipande tu yani povu lake mpaka atakimbia 😃deto, ariel,maq au omo zinasaidia sana ruka nazo au kama ni ghali sana chukua hapo jirani kwa mura kipande cha sabuni ya magadi cha sh100,
hivi mkuu kuna sex toys kwa ajili ya wanaume kumbe pia.. duh sijawahi kujuaga 👽Ushauri wangu
Kuliko kupata magonjwa ya zinaa
Bora ukanunue sex toy uwe unajilipua mwenye mpaka utakapompata anayekufaa.
Unaogopa nini? Au wewe ni kiba100 [emoji3][emoji3][emoji3]sipendelei malaya bora npige puchu
Zipo mkuu Kila aina.hivi mkuu kuna sex toys kwa ajili ya wanaume kumbe pia.. duh sijawahi kujuaga 👽
Wewe kiboko cha wote!!!! Ana nyota ya kufa kwa ngwengweUna nyota ya kufa kwa ukimwi mkuu.....naiona inang'aa
kumbuka uliambiwa una nyota ya kufa kwa ngwengwesina muda nao
Nilipokua very sexually active,mazoezi hayakuwahi kunisaidia kutuliza hamu ya ngono.nilipotoka gym au uwanjani nikama hamu ya tendo ilizidi kuliko kabla sijaenda.mi sidhani kama mazoez yanasaidia hili kwakweliFanya mazoezi
Sawasina muda nao