inaongeza sana genyedoooh asante mkuu inawezekana ikawa kweli
Jibake...!Habar wakuu,
Naombani mnisaidie tatizo langu, skuizi za karibuni nmekuwa na mhemko mkubwa sana wa kuwa na hamu ya kufanya ngono napatwa na hisia kali sana mpaka nashindwa kujizuia na isitoshe sina mwanamke wala mchumba, hali hii inanipelekea adi kutamani kufanya punyeto kuangalia video za uchi na akili yangu masaa 24 inawaza ngono,
Nyege zinanipelekea nafika hatua mpaka natongoza ata wanawake ambao sikulajia kabisa, ambao tumezoeana kama marafiki,
kiukweli hali hii siipendi inanitesa ndio maana nmekimbilia huku kupata japo ushaur wenu .
Asnten.
Tena aangalie "SAW 3D" hiyo movie itamfaa hatowaza ngonoAnza kuangalia movie za kutisha mkuu.
Hiyo hali itaondoka tu
AISEE NOMA SANA. TO JUST BE OUT OF SUCH SITUATION, EMBU JIPE MAJUKUMU MARA KWA MARA AU JISHUGHULISHE KWENYE MAMBO YANAYOFIKIRISHA ZAIDI UTAPUNGUZA MATAMANIO KWA KIWANGO FULANI. PIA FANYA MAZOEZI YA MWILI KILA ASUBUHI AU JIONI KUTOA USONGO NA HATA KUJIPA WASAA MWINGINE KAMA KULALA MAPEMA KWANI VIUNGO VIMECHOKA N.K, HII ITAPUNGUZA MAWAZO PINDI UKIWA IDLE USIKU KUWAZA NGONO KAMA UNAVYOPITIA. MOSTLY FOCUS ON YOUR HOBBIES & PRAY MUNGU AKUEPUSHIE JANGA LA UZINZI.Habar wakuu,
Naombani mnisaidie tatizo langu, skuizi za karibuni nmekuwa na mhemko mkubwa sana wa kuwa na hamu ya kufanya ngono napatwa na hisia kali sana mpaka nashindwa kujizuia na isitoshe sina mwanamke wala mchumba, hali hii inanipelekea adi kutamani kufanya punyeto kuangalia video za uchi na akili yangu masaa 24 inawaza ngono,
Nyege zinanipelekea nafika hatua mpaka natongoza ata wanawake ambao sikulajia kabisa, ambao tumezoeana kama marafiki,
kiukweli hali hii siipendi inanitesa ndio maana nmekimbilia huku kupata japo ushaur wenu .
Asnten.
Uchekeshaji unauweza mkuuNaona unamfundisha jamaa kuzima moto kwa kurushia malanda(saw dust)
DuuuuUna nyota ya kufa kwa ukimwi mkuu.....naiona inang'aa
AsanteAISEE NOMA SANA. TO JUST BE OUT OF SUCH SITUATION, EMBU JIPE MAJUKUMU MARA KWA MARA AU JISHUGHULISHE KWENYE MAMBO YANAYOFIKIRISHA ZAIDI UTAPUNGUZA MATAMANIO KWA KIWANGO FULANI. PIA FANYA MAZOEZI YA MWILI KILA ASUBUHI AU JIONI KUTOA USONGO NA HATA KUJIPA WASAA MWINGINE KAMA KULALA MAPEMA KWANI VIUNGO VIMECHOKA N.K, HII ITAPUNGUZA MAWAZO PINDI UKIWA IDLE USIKU KUWAZA NGONO KAMA UNAVYOPITIA. MOSTLY FOCUS ON YOUR HOBBIES & PRAY MUNGU AKUEPUSHIE JANGA LA UZINZI.
Zipo mkuu Kila aina.
Hhahahaha! usauri huu mbovu sana na utamharibia maisha yake ya uhusiano! ukishaanza kutumia sex toys kuacha inakua ngumu kama kupiga nyeto vile sasa ubaya wenyewe atashindwa kuenjoy au kufeel ile pleasure ya real sex na ataona wanawake ni mizinguo tu! solution sio mazoezi pekeake hapo inabidi aanze kupiga mashine ipasavyo ila asiifuate ile mikurumbembeUshauri wangu
Kuliko kupata magonjwa ya zinaa
Bora ukanunue sex toy uwe unajilipua mwenye mpaka utakapompata anayekufaa.
Ni maamuzi yake.Hhahahaha! usauri huu mbovu sana na utamharibia maisha yake ya uhusiano! ukishaanza kutumia sex toys kuacha inakua ngumu kama kupiga nyeto vile sasa ubaya wenyewe atashindwa kuenjoy au kufeel ile pleasure ya real sex na ataona wanawake ni mizinguo tu! solution sio mazoezi pekeake hapo inabidi aanze kupiga mashine ipasavyo ila asiifuate ile mikurumbembe
Hujaelewa somo weka upimbi aside jamaa ametaka ushauri haja onesha uamuzi wakeNi maamuzi yake.
OkHujaelewa somo weka upimbi aside jamaa ametaka ushauri haja onesha uamuzi wake