Nape acha 'Kukurupuka' hili la 'TCRA' laweza 'Kukuharibia'. 'Boss' wako 99% anategemea hizo 'Tozo' ili nchi iende

Nape acha 'Kukurupuka' hili la 'TCRA' laweza 'Kukuharibia'. 'Boss' wako 99% anategemea hizo 'Tozo' ili nchi iende

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Umeanza kwa Pupa sana Kamarada ( Comrade ) sijui bado 'appointment hangover' inakusumbua pamoja na Ujana ulionao?

Jeuri ya Boss wako ( Mama ) ipo katika hizi Tozo mbalimbali sasa leo hii unavyotaka TCRA ipunguze kwa kutafuta Kwako Sifa kwa Watanzania huku ukimkosesha Mama Mapato ya Kuongezea nchi na Serikali yake ( ambayo nayo umo pia ) unategemea nini?

Ushauri wangu wa bure Kwako Comrade ( Kamarada ) Nape ( Waziri ) usipende sana Kukurupuka ( Kudemka ) kila ukiwa unakabiliana na Suala lolote kwani huwa unaharibu japo najua kwa Wewe sasa unajitahidi Kujitutumua ili kutuonyesha Watanzania kuwa Kazi unaiweza, Ulitumbuliwa na Hayati Kimakosa na kwamba Wewe umezaliwa kwa ajili ya hiyo Wizara tu na kwamba wengine siyo 'Competent' nayo.

Ukiona GENTAMYCINE nakusema Ukweli ( nakuchana Mubashara ) hivi jua nakupenda na sitaki Ukosee au Uharibikiwe hivyo nakuomba sana Waziri Nape jifunze Kwanza kutulia, kuchanganua Jambo, Kulitafiti na Kulitathmini kabla Mdomo wako au Vidole vyako havijakuwasha na kuitisha Press au kwenda Kuandika kule 'Twitani' Kwako.

Kile 'Chuo' cha Uongozi 'kinafeli' wapi?
 
Nape ameitaka TCRA kukaa na makampuni ya simu ili kupunguza gharama za vifurushi. Labda kwa 1000 upate 1GB kama zamani badala ya 550 MB sasahivi. Hapo Tozo ziko wapi ? Au Tozo kwenye vifurushi zilipitishwa kimya kimya
Ina maana huyu hajui Tozo walizoweka ni kubwa kuliko gharama za vifurushi? Kama nia yake ni kumnufaisha mtumiaji apunguze Tozo.
 
Nape ameitaka TCRA kukaa na makampuni ya simu ili kupunguza gharama za vifurushi. Labda kwa 1000 upate 1GB kama zamani badala ya 550 MB sasahivi. Hapo Tozo ziko wapi ? Au Tozo kwenye vifurushi zilipitishwa kimya kimya
Sasa mbona mtoa mada anaongelea habari ya "Tozo"!! Au ameamua tu kupotosha kwa makusudi?

Maana kama ni ishu ya tozo, hii ni sheria iliyo pitishwa na bunge. Ila kuhusu vifurushi, hili ni suala lililo ndani ya mamlaka ya Waziri mwenye dhamana, TCRA, na makampuni ya simu!
 
Sasa mbona mtoa mada anaongelea habari ya "Tozo"!! Au ameamua tu kupotosha kwa makusudi?

Maana kama ni ishu ya tozo, hii ni sheria iliyo pitishwa na bunge. Ila kuhusu vifurushi, hili ni suala lililo ndani ya mamlaka ya Waziri mwenye dhamana, TCRA, na makampuni ya simu!
Ni akili kubwa yenye uwezo huu hongera sana mkuu
 
Sasa mbona mtoa mada anaongelea habari ya "Tozo"!! Au ameamua tu kupotosha kwa makusudi?

Maana kama ni ishu ya tozo, hii ni sheria iliyo pitishwa na bunge. Ila kuhusu vifurushi, hili ni suala lililo ndani ya mamlaka ya Waziri mwenye dhamana, TCRA, na makampuni ya simu!
Sawa sawa. Nadhani yeye anamajibu mazuri tumuulize, Sina mamlaka ya kumjibia
 
Umeanza kwa Pupa sana Kamarada ( Comrade ) sijui bado 'appointment hangover' inakusumbua pamoja na Ujana ulionao?

Jeuri ya Boss wako ( Mama ) ipo katika hizi Tozo mbalimbali sasa leo hii unavyotaka TCRA ipunguze kwa kutafuta Kwako Sifa kwa Watanzania huku ukimkosesha Mama Mapato ya Kuongezea nchi na Serikali yake ( ambayo nayo umo pia ) unategemea nini?

Ushauri wangu wa bure Kwako Comrade ( Kamarada ) Nape ( Waziri ) usipende sana Kukurupuka ( Kudemka ) kila ukiwa unakabiliana na Suala lolote kwani huwa unaharibu japo najua kwa Wewe sasa unajitahidi Kujitutumua ili kutuonyesha Watanzania kuwa Kazi unaiweza, Ulitumbuliwa na Hayati Kimakosa na kwamba Wewe umezaliwa kwa ajili ya hiyo Wizara tu na kwamba wengine siyo 'Competent' nayo.

Ukiona GENTAMYCINE nakusema Ukweli ( nakuchana Mubashara ) hivi jua nakupenda na sitaki Ukosee au Uharibikiwe hivyo nakuomba sana Waziri Nape jifunze Kwanza kutulia, kuchanganua Jambo, Kulitafiti na Kulitathmini kabla Mdomo wako au Vidole vyako havijakuwasha na kuitisha Press au kwenda Kuandika kule 'Twitani' Kwako.

Kile 'Chuo' cha Uongozi 'kinafeli' wapi?
( ),' ',
hivi huwezi kupost bila ya kuweka hayo mabano,vifungua semi na vifunga semi.

Unafanya vitu vifupi viwe vireeefu.
 
Sasa mbona mtoa mada anaongelea habari ya "Tozo"!! Au ameamua tu kupotosha kwa makusudi?

Maana kama ni ishu ya tozo, hii ni sheria iliyo pitishwa na bunge. Ila kuhusu vifurushi, hili ni suala lililo ndani ya mamlaka ya Waziri mwenye dhamana, TCRA, na makampuni ya simu!
Ufafanuzi mujarab

Kongole mkuu
 
Sasa mbona mtoa mada anaongelea habari ya "Tozo"!! Au ameamua tu kupotosha kwa makusudi?

Maana kama ni ishu ya tozo, hii ni sheria iliyo pitishwa na bunge. Ila kuhusu vifurushi, hili ni suala lililo ndani ya mamlaka ya Waziri mwenye dhamana, TCRA, na makampuni ya simu!
Hili halina akili linadhania JF imejaa wapumbavu wenzake
 
Hivi inawezekana akaanza tu kuongea kabla ya kuongea na wakubwa wake?
 
Umeanza kwa Pupa sana Kamarada ( Comrade ) sijui bado 'appointment hangover' inakusumbua pamoja na Ujana ulionao?

Jeuri ya Boss wako ( Mama ) ipo katika hizi Tozo mbalimbali sasa leo hii unavyotaka TCRA ipunguze kwa kutafuta Kwako Sifa kwa Watanzania huku ukimkosesha Mama Mapato ya Kuongezea nchi na Serikali yake ( ambayo nayo umo pia ) unategemea nini?

Ushauri wangu wa bure Kwako Comrade ( Kamarada ) Nape ( Waziri ) usipende sana Kukurupuka ( Kudemka ) kila ukiwa unakabiliana na Suala lolote kwani huwa unaharibu japo najua kwa Wewe sasa unajitahidi Kujitutumua ili kutuonyesha Watanzania kuwa Kazi unaiweza, Ulitumbuliwa na Hayati Kimakosa na kwamba Wewe umezaliwa kwa ajili ya hiyo Wizara tu na kwamba wengine siyo 'Competent' nayo.

Ukiona GENTAMYCINE nakusema Ukweli ( nakuchana Mubashara ) hivi jua nakupenda na sitaki Ukosee au Uharibikiwe hivyo nakuomba sana Waziri Nape jifunze Kwanza kutulia, kuchanganua Jambo, Kulitafiti na Kulitathmini kabla Mdomo wako au Vidole vyako havijakuwasha na kuitisha Press au kwenda Kuandika kule 'Twitani' Kwako.

Kile 'Chuo' cha Uongozi 'kinafeli' wapi?
Mleta mada ulimuelewa Nape? Amezungumzia bei ya vifurushi sio tozo.
 
Nape ameitaka TCRA kukaa na makampuni ya simu ili kupunguza gharama za vifurushi. Labda kwa 1000 upate 1GB kama zamani badala ya 550 MB sasahivi. Hapo Tozo ziko wapi ? Au Tozo kwenye vifurushi zilipitishwa kimya kimya

Sikutegemea mwa jf kama wewe unaweza swalika watu namna hii! Hivi unafikiri kwanini vifurushi vimepanda? Kwanini vimeshindwa kushuka? Hivi unafikiri makampuni hayawasiliani na TCRA kwenye upandishaji wa vifurushi? Hapa tozo na kodi ndio sababu hata Nape anajua maana zimeanzia bungeni!
 
Nape ameitaka TCRA kukaa na makampuni ya simu ili kupunguza gharama za vifurushi. Labda kwa 1000 upate 1GB kama zamani badala ya 550 MB sasahivi. Hapo Tozo ziko wapi ? Au Tozo kwenye vifurushi zilipitishwa kimya kimya
Wayapunguzie Kodi haya makampuni,vinginevyo vifurushi vitapanda zaidi
 
Back
Top Bottom