Nape acha 'Kukurupuka' hili la 'TCRA' laweza 'Kukuharibia'. 'Boss' wako 99% anategemea hizo 'Tozo' ili nchi iende

Nape acha 'Kukurupuka' hili la 'TCRA' laweza 'Kukuharibia'. 'Boss' wako 99% anategemea hizo 'Tozo' ili nchi iende

Sasa mbona mtoa mada anaongelea habari ya "Tozo"!! Au ameamua tu kupotosha kwa makusudi?

Maana kama ni ishu ya tozo, hii ni sheria iliyo pitishwa na bunge. Ila kuhusu vifurushi, hili ni suala lililo ndani ya mamlaka ya Waziri mwenye dhamana, TCRA, na makampuni ya simu!

Kuwekwa kwa tozo na kupandishwa kwa kodi ndio sababu ya kupanda kwa gharama za huduma hili jambo mbona dogo sana kulielewa? Kabla ya Nape aliyekuwepo alijaribu lakini jiulize alikwamia wapi? Ukitaka waongeze Mbs punguza tozo na kodi kwenye huduma basi na wao wataongeza Mbs kinyume na hapo hakuna atakaye kubali kupata hasara
 
Ina maana huyu hajui Tozo walizoweka ni kubwa kuliko gharama za vifurushi? Kama nia yake ni kumnufaisha mtumiaji apunguze Tozo.
Ila tozo pasua kichwa.
====
Ukituma 230,000 tozo 2058 (0.9%)
Ukituma 50,000 tozo 1435 (2.9%)
Ukituma 40,000 tozo 1050(2.6%)
Ukituma 13,000 tozo 224 (1.7%)
Ukituma 11,000 tozo 224 (2.2%)

Nina imani kodi ndiyo tozo badala ya ada kama inavyoandikwa kwenye meseji za miamala.

Hizo takwimu hapo juu zinaonyesha kuwa, mtu wa kipato cha chini ndiye ana kamuliwa zaidi. Angalia asilimia ya tozo hizo kwa pesa iliyotumwa. Mwenye kutuma nyingi ndiye kalegezewa tozo asilimia 1. Wakati hawa wa chini tozo asilimia 2 mpaka 3. Na hawa ndiyo wengi sana.
 
Kuwekwa kwa tozo na kupandishwa kwa kodi ndio sababu ya kupanda kwa gharama za huduma hili jambo mbona dogo sana kulielewa? Kabla ya Nape aliyekuwepo alijaribu lakini jiulize alikwamia wapi? Ukitaka waongeze Mbs punguza tozo na kodi kwenye huduma basi na wao wataongeza Mbs kinyume na hapo hakuna atakaye kubali kupata hasara
Siasa za Makampuni ya simu kupandisha bei ya vifurushi zilianza hata kabla ya kupitishwa kwa Sheria ya kuongeza tozo kwenye miamala na mafuta! Na ndiyo maana hata wewe mwenyewe umekiri kwenye haya maelezo yako.

Jambo lingine unatakiwa ufahamu kuwa makampuni ya simu yapo kwa ajili ya kufanya biashara na kupata faida kubwa. Hivyo yakiachwa yafanye yatakavyo, walaji (wananchi) ndiyo wanao umia.

Hata kama yangepunguziwa hiyo kodi kwa kiwango cha chini kiasi gani, bado yangetuibia tu kwa manufaa yao, na pia kwa manufaa ya nchi zao. Hivyo kwa upande wangu namuunga mkono Nape Nauye.
 
Sikutegemea mwa jf kama wewe unaweza swalika watu namna hii! Hivi unafikiri kwanini vifurushi vimepanda? Kwanini vimeshindwa kushuka? Hivi unafikiri makampuni hayawasiliani na TCRA kwenye upandishaji wa vifurushi? Hapa tozo na kodi ndio sababu hata Nape anajua maana zimeanzia bungeni!
You are right but clarification is needed to make it more aware.

Wakati wizara ikiwa chini ya Ndugulile Sheria ya tozo kwenye muda wa maongezi ilipitishwa pamoja na Tozo kwa upande wa miamala ya simu. Tozo za kwenye airtime zipo tofauti na hizi za kwenye miamala ya Simu, hai'hitaji hela ya ziada kama tozo ama ushuru.

Upande wa miamala ya fedha ili kutoa ama kutuma Tsh 10,000 /= itakuhitaji 224 /= ya ziada kama Tozo ya Serikali badala ya Tsh 1,450/= tuu ili kutoa kwa wakala au Tsh 495/ = tuu ili kutuma kwa mtumiaji mwengine.

Kwenye airtime (muda wa maongezi) ipo kwa namna hii tofauti, kwenye mgawanyiko wa muda wa maongezi wa Sh 500, kuna Tsh 5 itakatwa kama Tozo na VAT ikiwemo kiasi kadhaa ( 18%) kile kinachobaki ndio Malipo kwa mtoa huduma (Tigo,Voda,nk ) ili kukupatia wewe bundle lako (Dk , sms na Mbs ).


My sons legacy M .png

Hivyo Reducation ya Tsh 5 mpaka 223(chart below) kama Tozo ndio inayo pandisha gharama za vifurushi kwa kua tu mtoa huduma amepunguziwa malipo yake.

My sons legacy XL .png
 
Sikutegemea mwa jf kama wewe unaweza swalika watu namna hii! Hivi unafikiri kwanini vifurushi vimepanda? Kwanini vimeshindwa kushuka? Hivi unafikiri makampuni hayawasiliani na TCRA kwenye upandishaji wa vifurushi? Hapa tozo na kodi ndio sababu hata Nape anajua maana zimeanzia bungeni!
Vifurushi vilianza kupanda kabla ya tozo , changanua akili mkuu
 
Umeanza kwa Pupa sana Kamarada ( Comrade ) sijui bado 'appointment hangover' inakusumbua pamoja na Ujana ulionao?

Jeuri ya Boss wako ( Mama ) ipo katika hizi Tozo mbalimbali sasa leo hii unavyotaka TCRA ipunguze kwa kutafuta Kwako Sifa kwa Watanzania huku ukimkosesha Mama Mapato ya Kuongezea nchi na Serikali yake ( ambayo nayo umo pia ) unategemea nini?

Ushauri wangu wa bure Kwako Comrade ( Kamarada ) Nape ( Waziri ) usipende sana Kukurupuka ( Kudemka ) kila ukiwa unakabiliana na Suala lolote kwani huwa unaharibu japo najua kwa Wewe sasa unajitahidi Kujitutumua ili kutuonyesha Watanzania kuwa Kazi unaiweza, Ulitumbuliwa na Hayati Kimakosa na kwamba Wewe umezaliwa kwa ajili ya hiyo Wizara tu na kwamba wengine siyo 'Competent' nayo.

Ukiona GENTAMYCINE nakusema Ukweli ( nakuchana Mubashara ) hivi jua nakupenda na sitaki Ukosee au Uharibikiwe hivyo nakuomba sana Waziri Nape jifunze Kwanza kutulia, kuchanganua Jambo, Kulitafiti na Kulitathmini kabla Mdomo wako au Vidole vyako havijakuwasha na kuitisha Press au kwenda Kuandika kule 'Twitani' Kwako.

Kile 'Chuo' cha Uongozi 'kinafeli' wapi?
Mawaziri aina ya Nape ni wajinga,kabla ya kukirupuka na matamko ya kipuuzi,muwe mnajipa mda wa kufuatilia kwanza kwa nini vifurushi na vitu vingine vimepanda.
 
Hili halina akili linadhania JF imejaa wapumbavu wenzake
Tokea niache Kukukaza na kukupitia sana 'Vumbi Road' ambako ulikuwa Unanogewa mno umetokea Kunichukia kwakuwa Wivu umekujaa na nawakaza wapenda 'Vumbi Road' Wenzako.
 
Back
Top Bottom