Sasa mbona mtoa mada anaongelea habari ya "Tozo"!! Au ameamua tu kupotosha kwa makusudi?
Maana kama ni ishu ya tozo, hii ni sheria iliyo pitishwa na bunge. Ila kuhusu vifurushi, hili ni suala lililo ndani ya mamlaka ya Waziri mwenye dhamana, TCRA, na makampuni ya simu!
Ila tozo pasua kichwa.Ina maana huyu hajui Tozo walizoweka ni kubwa kuliko gharama za vifurushi? Kama nia yake ni kumnufaisha mtumiaji apunguze Tozo.
Siasa za Makampuni ya simu kupandisha bei ya vifurushi zilianza hata kabla ya kupitishwa kwa Sheria ya kuongeza tozo kwenye miamala na mafuta! Na ndiyo maana hata wewe mwenyewe umekiri kwenye haya maelezo yako.Kuwekwa kwa tozo na kupandishwa kwa kodi ndio sababu ya kupanda kwa gharama za huduma hili jambo mbona dogo sana kulielewa? Kabla ya Nape aliyekuwepo alijaribu lakini jiulize alikwamia wapi? Ukitaka waongeze Mbs punguza tozo na kodi kwenye huduma basi na wao wataongeza Mbs kinyume na hapo hakuna atakaye kubali kupata hasara
Anaonyesha kuwa kasoma na kupikika vilivyo hasa kwenye lugha ya swahili!!hupendi Nini??( ),' ',
hivi huwezi kupost bila ya kuweka hayo mabano,vifungua semi na vifunga semi.
Unafanya vitu vifupi viwe vireeefu.
You are right but clarification is needed to make it more aware.Sikutegemea mwa jf kama wewe unaweza swalika watu namna hii! Hivi unafikiri kwanini vifurushi vimepanda? Kwanini vimeshindwa kushuka? Hivi unafikiri makampuni hayawasiliani na TCRA kwenye upandishaji wa vifurushi? Hapa tozo na kodi ndio sababu hata Nape anajua maana zimeanzia bungeni!
Vifurushi vilianza kupanda kabla ya tozo , changanua akili mkuuSikutegemea mwa jf kama wewe unaweza swalika watu namna hii! Hivi unafikiri kwanini vifurushi vimepanda? Kwanini vimeshindwa kushuka? Hivi unafikiri makampuni hayawasiliani na TCRA kwenye upandishaji wa vifurushi? Hapa tozo na kodi ndio sababu hata Nape anajua maana zimeanzia bungeni!
Mawaziri aina ya Nape ni wajinga,kabla ya kukirupuka na matamko ya kipuuzi,muwe mnajipa mda wa kufuatilia kwanza kwa nini vifurushi na vitu vingine vimepanda.Umeanza kwa Pupa sana Kamarada ( Comrade ) sijui bado 'appointment hangover' inakusumbua pamoja na Ujana ulionao?
Jeuri ya Boss wako ( Mama ) ipo katika hizi Tozo mbalimbali sasa leo hii unavyotaka TCRA ipunguze kwa kutafuta Kwako Sifa kwa Watanzania huku ukimkosesha Mama Mapato ya Kuongezea nchi na Serikali yake ( ambayo nayo umo pia ) unategemea nini?
Ushauri wangu wa bure Kwako Comrade ( Kamarada ) Nape ( Waziri ) usipende sana Kukurupuka ( Kudemka ) kila ukiwa unakabiliana na Suala lolote kwani huwa unaharibu japo najua kwa Wewe sasa unajitahidi Kujitutumua ili kutuonyesha Watanzania kuwa Kazi unaiweza, Ulitumbuliwa na Hayati Kimakosa na kwamba Wewe umezaliwa kwa ajili ya hiyo Wizara tu na kwamba wengine siyo 'Competent' nayo.
Ukiona GENTAMYCINE nakusema Ukweli ( nakuchana Mubashara ) hivi jua nakupenda na sitaki Ukosee au Uharibikiwe hivyo nakuomba sana Waziri Nape jifunze Kwanza kutulia, kuchanganua Jambo, Kulitafiti na Kulitathmini kabla Mdomo wako au Vidole vyako havijakuwasha na kuitisha Press au kwenda Kuandika kule 'Twitani' Kwako.
Kile 'Chuo' cha Uongozi 'kinafeli' wapi?
Pumbavu.( ),' ',
hivi huwezi kupost bila ya kuweka hayo mabano,vifungua semi na vifunga semi.
Unafanya vitu vifupi viwe vireeefu.
Mbwa ni Yule aliyekuzaa pekee.Mavi yako mbwa wewe yaani kupunguza bei za bando ni kosa?
Tokea niache Kukukaza na kukupitia sana 'Vumbi Road' ambako ulikuwa Unanogewa mno umetokea Kunichukia kwakuwa Wivu umekujaa na nawakaza wapenda 'Vumbi Road' Wenzako.Hili halina akili linadhania JF imejaa wapumbavu wenzake
Mjinga ambaye kwa Upumbavu wako wa Kurithishwa na Waliokuzaa huachi Kumfuatilia Kutwa ( 24/7 ) hapa JamiiForums.Umepata wapi mda wa kujibu huyo mjinga
Nasema hiiivi Nape chapaa kaaziii
Achana na maneno maneno ya watu chaaapa kaaazi