Maskini CCM,Hakika hali imekuwa mbaya sana kwa ccm katika ustawi wake na imeanza kubuni mbinu chafu za kuombea vifo vya watu maarufu kujitangaza kuwa kipo na kinnawajali.Wachambuzi wa masuala ya siasa na mahusiano wanabanisha kuwa mbinu hii ni mbaya kwa umma na wananchi ambayo hakika wanaona ni vema ccm kingebuni mbinu ya kuzuia vifo ili kipate wananchama padala ya kuibukia kwenye misiba na kutoa ngojera.Kwa misiba ya wasanii maarufu hivi karibuni Katibu mwenezi makao makuu ya ccm ndg Nepi ameonekana akitoa ngojera na pia hapo jana alisafri kutoka DAR hadi Muheza zaidi ya kilometa 200 kutoka DAR na ccm kuteka protocol yote ya mazishi.
Kama ccm ingekuwa inapenda kushiriki mambo ya kijamii siyo tatizo kama NEPI angetoa maagizo kwa viongozi wa ccm wilaya,kijiji ulipo msiba na Kata husika kushiriki na siyo kukurupuka kutoka makao makuu na timu ya ccm hadi Muheza na kuagiza harakati za ccm zitawale msiba wa Sharomilionea kuvika kitambaa cha rangi ya kijani.Kama hali itakuwa sia ajabu ccm akatamani hata akina mzee Majuto,Jay day nao watangulie mbele za haki ili kupata sehemu za kuanzisha harakati za kisiasa.
CCM imekwisha kufa ni wajibu wa viongozi kuandaa mikakati endelevu na siyo kutafuta umarufu katika misiba ili kuokoa chama chenu.
ALUTA CONTNIUA, ALUTA CATABUU