nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,801
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujue nilikuwa sijakuelewa mwanzo!nilipokuelewa nimecheka sana!lol
af muda si mrefu mkasi utafanana nae!
Cdm sijawaona Nape kaongoza mazishi na eneo zima limepambwa kwa rangi za kijani...kulikoni?
Maskini CCM,Hakika hali imekuwa mbaya sana kwa ccm katika ustawi wake na imeanza kubuni mbinu chafu za kuombea vifo vya watu maarufu kujitangaza kuwa kipo na kinnawajali.Wachambuzi wa masuala ya siasa na mahusiano wanabanisha kuwa mbinu hii ni mbaya kwa umma na wananchi ambayo hakika wanaona ni vema ccm kingebuni mbinu ya kuzuia vifo ili kipate wananchama padala ya kuibukia kwenye misiba na kutoa ngojera.Kwa misiba ya wasanii maarufu hivi karibuni Katibu mwenezi makao makuu ya ccm ndg Nepi ameonekana akitoa ngojera na pia hapo jana alisafri kutoka DAR hadi Muheza zaidi ya kilometa 200 kutoka DAR na ccm kuteka protocol yote ya mazishi.
Kama ccm ingekuwa inapenda kushiriki mambo ya kijamii siyo tatizo kama NEPI angetoa maagizo kwa viongozi wa ccm wilaya,kijiji ulipo msiba na Kata husika kushiriki na siyo kukurupuka kutoka makao makuu na timu ya ccm hadi Muheza na kuagiza harakati za ccm zitawale msiba wa Sharomilionea kuvika kitambaa cha rangi ya kijani.Kama hali itakuwa sia ajabu ccm akatamani hata akina mzee Majuto,Jay day nao watangulie mbele za haki ili kupata sehemu za kuanzisha harakati za kisiasa.
CCM imekwisha kufa ni wajibu wa viongozi kuandaa mikakati endelevu na siyo kutafuta umarufu katika misiba ili kuokoa chama chenu.
ALUTA CONTNIUA, ALUTA CATABUU
Cdm sijawaona Nape kaongoza mazishi na eneo zima limepambwa kwa rangi za kijani...kulikoni?
Akili za Nape anatumia misiba na kila nafasi itakayojitokeza mbele yake.
Kuna picha nimeona jeneza lililobeba mwili wa marehemu limefunikwa kwa bendera ya CCM.
Ni ndugu waliomba iwe hivo au kijana alikuwa na uongozi CCM au ndo kutafuta political popularity kwenye mazishi,unaweza kufuata hiyo link kwa picha.
http://4.bp.blogspot.com/-_Oox3SjoH6A/ULbtJQhs4dI/AAAAAAACROw/gVOq-KDXYmg/s1600/sharo.jpg
Usilete mambo yasiyokuwa na msingi, Jeneza halikuwa na viashiria vyovyote vya CCM hivyo vitambaa vilivyokuwa vimefunikwa ni vitambaa tu ambavyo vina rangi ya kijani lakini havina maana na CCM