Nape aongoza mazishi ya Sharomillionea

Nape aongoza mazishi ya Sharomillionea

kwahiyo hao waliovaa sare za chama waliambiwa kuna kikao au mkutano wa chama?

kwa hiyo wataka kuwachagulia watu nini wavae... wamevaa kwa mapenzi yao...! hata weye ungekwenda ukapiga gwanda ukiamua
 
lol...........amazing !!!!!!

jamani ama maneno (majina ya mitume) kuandikwa kwenye nguo ya kijani nayo ni ccm?? tubadilike jamani wenzetu waislam hufunika majeneza yao kwa vitambaa tofauti na wakristo na siku zote kitambaa cha juu huwa na majina ya mitume ama maneno ya kumwomba Mungu kama ishara ya kumwombea marehem.
 
Haikuwa bendera ya chama ile ila ccm ni chama kubwa ndio maana hata usiowadhania wapo ndani ccm,inawezekana hata wewe ni ccm ila hujajijua.
 
acha ww na huyo alie vaa shati na kapelo nae kafunikwa au?
 
hata watangazji nao wanaripoti"Viongozi wa chama na serikali walihudhuria" na hawasemi viongozi wa vyama
 
Kuna picha nimeona jeneza lililobeba mwili wa marehemu limefunikwa kwa bendera ya CCM.

Ni ndugu waliomba iwe hivo au kijana alikuwa na uongozi CCM au ndo kutafuta political popularity kwenye mazishi,unaweza kufuata hiyo link kwa picha.
http://4.bp.blogspot.com/-_Oox3SjoH6A/ULbtJQhs4dI/AAAAAAACROw/gVOq-KDXYmg/s1600/sharo.jpg

............R. I. P Sharo Milionea........ alipokufa Kanumba serikali ilichangia 10Milion..... na viongozi karibu wote wa taifa hili walikuja nyumbani kwa Kanumba "the great" tunasubiri ahadi ya serikali kwa huyu dogo Sharo milionea .........naye anamchango aliouacha kwa taifa hili
 
Hii imekuwa desturi na kawaida ya wanasiasa wa Tanzania
uonekana kwenye misiba ya wasanii au watu maarufu wakati
huyo mtu hawajawai kuongea pamoja wakati wa uhai wake.

Mfano Msiba wa SHARO na Nnauye Jr walionana wapi katika
uhai wa sharo?

Kama Nnauye Jr na CCM kuna mapenzi ya wasanii wawasadie kabla
hajakubwa na mauti.

Hivi watanzania wangapi wanakufa na hatusikii serikali ikitoa pole kwa watanzania?au
watanzania wanaokufa sio watu?


Swali:
Nnauye Jr msiba mwingine lini ili kuwepo na manufaa kisasa?
 
Last edited by a moderator:
Cdm sijawaona Nape kaongoza mazishi na eneo zima limepambwa kwa rangi za kijani...kulikoni?

WAKUU!

Nipo kwenye mazingira ambayo si muafaka kuwapa kilicho jiri hapa Muheza ndani ya Sekretarieti ya CCM Muheza. Mimi ni mmoja wa wajumbe. Nitamwaga machache mara nitakapo kuwa nimerejea kwenye mazingira muafaka.

DOKEZO:

Kuteka mazishi ya kila msiba wa mtanzania mwenye jina ndiyo agenda mpya ya CCM. Na hilo ni agizo toka ngazi za juu.

Ma- DC wahakikishe wanakuwa wenyeviti wa kamati hizo.

Kwa Muheza- Lusanga, MORE COMING SOON.

Nawasilisha Wakuu.
 
nimeona vitAMBAA VIWILI
JUU YA JENEZA, KILICHO JUU NDIO CHA KIISLAMU HASWA, CHA CHINI BILA SHAKA NI BENDERA YA CCM
ANGALIENI KWA UMAKINI
 
Kwanini wakapamba na rangi ya kijani nijuavyo rangi ya zambarau ni ya misiba hawajamtendea haki marehemu (RIP Sharo)
Kwanza Napenda kutoa shukrani za dhati kwa mama yako mzazi kwa kutuletea mrembo Kama wewe hapa duniani ili kutupa wanaume changamoto ya kutafuta hela.

Pili, Marehemu Sharo (RIP) alikuwa ni muumini wa dini ya kiislamu,na katika uislamu hiyo kijani ni rangi husika.
Ndio maana hata kwenye harusi nyingi za kiislamu zinapofungwa bibi harusi huwa anakuwa amevalia gauni ya kijani ni sunna. Kama una rafiki wa kiislamu anaweza kukuelimisha zaidi.

Ps: usisahau kumpa mama yako Shukrani yangu ya dhati..kwa niaba ya midume yote ya Kitanzania.
 
nimeona vitAMBAA VIWILI
JUU YA JENEZA, KILICHO JUU NDIO CHA KIISLAMU HASWA, CHA CHINI BILA SHAKA NI BENDERA YA CCM
ANGALIENI KWA UMAKINI

Mkuu hilo hata mi nimeliona ila watu wabishi
 
Haikuwa bendera ya chama ile ila ccm ni chama kubwa ndio maana hata usiowadhania wapo ndani ccm,inawezekana hata wewe ni ccm ila hujajijua.

Sasa kama ushajichanganya hapo kwa kauli zAko tukuelewaje?
 


kwa hiyo wataka kuwachagulia watu nini wavae... wamevaa kwa mapenzi yao...! hata weye ungekwenda ukapiga gwanda ukiamua

Kwahiyo mavazi ya maombolezo ndo hiyo rangi ya kijani waliovaa?shame
 
Kwanza Napenda kutoa shukrani za dhati kwa mama yako mzazi kwa kutuletea mrembo Kama wewe hapa duniani ili kutupa wanaume changamoto ya kutafuta hela.

Pili, Marehemu Sharo (RIP) alikuwa ni muumini wa dini ya kiislamu,na katika uislamu hiyo kijani ni rangi husika.
Ndio maana hata kwenye harusi nyingi za kiislamu zinapofungwa bibi harusi huwa anakuwa amevalia gauni ya kijani ni sunna. Kama una rafiki wa kiislamu anaweza kukuelimisha zaidi.

Ps: usisahau kumpa mama yako Shukrani yangu ya dhati..kwa niaba ya midume yote ya Kitanzania.

Tuonyeshe mifano kwa njia ya picha kama ikiwezekana, kutetea hoja yako kwamba "harusi nyingi za kiislamu zinapofungwa bibi harusi huwa anakuwa amevalia gauni ya kijani ni sunna".


Ikiwezekana, weka pia picha za mazishi ya Kiislamu zikionyesha vitambaa vya kijani na njano vimetanda kwenye majeneza.

Navyofahamu, nyeusi ndiyo rangi kuu ya Uislamu.
 
Tuonyeshe mifano kwa njia ya picha kama ikiwezekana, kutetea hoja yako kwamba "harusi nyingi za kiislamu zinapofungwa bibi harusi huwa anakuwa amevalia gauni ya kijani ni sunna".


Ikiwezekana, weka pia picha za mazishi ya Kiislamu zikionyesha vitambaa vya kijani na njano vimetanda kwenye majeneza.

Navyofahamu, nyeusi ndiyo rangi kuu ya Uislamu.
Kwa hiyo unataka nikuwekee kila picha ya harusi ya kiislamu bibi harusi akiwa na vazi la kijani???? Are you effin kidding me!!??
Mimi binafsi siko kwenye ushabiki wa siasa..nilikuwa najaribu kumuelewesha huyo binti.
Ukitaka kujua zaidi nenda BAKWATA watakusaidia kuhusu hilo.
 
Back
Top Bottom