Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri Nape amesema msiba wa Joachim Kapembe aliyefariki akishuka Mlima Kilimanjaro umemfanya afikirie kuhusu maisha ya familia ya muandishi huyo.
Akiwa katika Kongamano la maendeleo ya sekta ya habari amesema mwaka 2023 serikali itaweka nguvu nyingi katika kuboresha maslahi ya waandishi wa habari na uchumi wa vyombo vya habari.
Kwenye maslahi ya vyombo vta habari ni pamoja na bima za afya na masuala mengine ya kuboresha mazingira yao
Akiwa katika Kongamano la maendeleo ya sekta ya habari amesema mwaka 2023 serikali itaweka nguvu nyingi katika kuboresha maslahi ya waandishi wa habari na uchumi wa vyombo vya habari.
Kwenye maslahi ya vyombo vta habari ni pamoja na bima za afya na masuala mengine ya kuboresha mazingira yao