Pre GE2025 Nape asilaumiwe, hata Rais Samia aliwahi kunena kauli inayoendana na yake

Pre GE2025 Nape asilaumiwe, hata Rais Samia aliwahi kunena kauli inayoendana na yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
CCM, kiuhalisia, kamwe haiwezi kuheshimu demokrasia wala haki za wananchi kuwachagua watu wanaotaka wawaongoze.

CCM inaamini katika kupora kura au kupora maamuzi ya wananchi. Inaamini zaidi katika wizi kwenye kila jambo.

Mwizi huwa hachagui cha kuiba. Ndiyo maana wakishaiba kura, au wakaamua kuiba maamuzi ya wananchi kwa kujitangaza ni washindi, wakishaunda Serikali wanaendelea kuiba kodi za wananchi kila mwaka (reports za CAG) zinathibitisha hilo. Wanaendelea kupora mpaka rasilimali za nchi (IGA kwenye bandari, mikataba ya kupora mbuga za wanyama na hifadhi za misitu, viwanja vya ndege na mradi wa mabasi ya mwendokasi; vyote vinathibitisha hilo).

Nape, aliyoyasema siyo kwa bahati mbaya. Anajua jinsi ambavyo wamekuwa wakifanya wakati wote kwenye uchaguzi. Anajua kuwa CCM haitegemei kura za wananchi. Kuondoka kwake CCM lazima iwe ni kwa nguvu, na siyo sanduku la kura. Awali Nape aliwahi kusema kuwa CCM ni lazima ishinde, isipopata kura za wananchi, inaenda na bao la mkono, yaani kupora ushindi wa vyama vingine kwa njia chafu. Rais Samia naye aliwahi kutamka kuwa wananchi hata wakivipigia kura vyama vya upinzani, lakini kura hizo walizowapa wapinzani zitahesabika CCM.

Bashiru naye aliwahi kusema kuwa CCM itashinda kwa kutumia dola.

Safari hii Nape amefafanua ni namna gani CCM huwa inafanya kwenye bao la mkono, na ni kwa namna gani zile kura za wapinzani huwa zinahesabiwa CCM, kama alivyowahi kutamka Rais Samia. Nape alichokisema ni kuwa wanaitumia Tume ya Uchaguzi kupitia wasimamizi wa uchaguzi. Na hiyo ndiyo sababu kuu ambayo Rais Samia amekataa kabisa kuifanya Tume ya Uchaguzi kuwa Huru, katika ile maana halisi ya kuwa huru.

Tumshukuru sana Nape kwa kukiri bila woga kuwa CCM huwa wanapora maamuzi ya wananchi, jambo ambalo kila.mtu alikuwa anajua. Hapa mchawi ameingiwa na utashi angalao wa kuunena uchawi wake na jinsi ambavyo amekuwa akiwaua wanadamu wenzake.

Wananchi tutambue kuwa chini ya CCM, kamwe wizi, ufisadi na kila uchafu, haviwezi kwisha. Aliyeingia kwa uchafu, uchafu unakuwa ndiyo dini yake, hawezi kuja kuusaliti uchafu ambao ndio ulimpa madaraka ambayo daima anayataka.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

- Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

- Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

- Kuelekea 2025 - Huyu ndiyo waziri anayetupa majibu kuwa hakuna uchaguzi wa haki hapa Tanzania
 
Ukosefu wa ujasiri mwilini ili kudai haki unatugharimu sana.

Ni kweli. Maana imefikia mahali ambapo majizi ya kura yanasimama hadharani na kutamba wazi kuwa huwa yanaiba kura!! Yakijua kuwa hakuna anayeweza kuyafanya kitu.

Nape ametamba hadharani hadharani kuwa CCM huwa inabadilisha matokeonya kura.

Samia alitamba hadharani kuwa hata kura za wapinzani huwa zinahesabika kwa CCM.

Bashiru alitamba hadharani kuwa CCM huwa inashinda kwa kutumia vyombo vya dola.
 
Na wananchi walivyo kua wapumbavu wanashangilia kabisa upumbavu uliokua unaongelewa alafu baadae ndio hao hao wapumbavu wanaanza kulalamika kukosa huduma muhimu ambazo zinapaswa kufanywa na serikali
 
Na wananchi walivyo kua wapumbavu wanashangilia kabisa upumbavu uliokua unaongelewa alafu baadae ndio hao hao wapumbavu wanaanza kulalamika kukosa huduma muhimu ambazo zinapaswa kufanywa na serikali
Kijana mpumbuvu ni wewe siyo wananchi, siye tumeamua kumwomba MUNGU atusaidie kuindoa CCM
 
CCM, kiuhalisia, kamwe haiwezi kuheshimu demokrasia wala haki za wananchi kuwachagua watu wanaotaka wawaongoze.

CCM inaamini katika kupora kura au kupora maamuzi ya wananchi. Inaamini zaidi katika wizi kwenye kila jambo.

Mwizi huwa hachagui cha kuiba. Ndiyo maana wakishaiba kura, au wakaamua kuiba maamuzi ya wananchi kwa kujitangaza ni washindi, wakishaunda Serikali wanaendelea kuiba kodi za wananchi kila mwaka (reports za CAG) zinathibitisha hilo. Wanaendelea kupora mpaka rasilimali za nchi (IGA kwenye bandari, mikataba ya kupora mbuga za wanyama na hifadhi za misitu, viwanja vya ndege na mradi wa mabasi ya mwendokasi; vyote vinathibitisha hilo).

Nape, aliyoyasema siyo kwa bahati mbaya. Anajua jinsi ambavyo wamekuwa wakifanya wakati wote kwenye uchaguzi. Anajua kuwa CCM haitegemei kura za wananchi. Kuondoka kwake CCM lazima iwe ni kwa nguvu, na siyo sanduku la kura. Awali Nape aliwahi kusema kuwa CCM ni lazima ishinde, isipopata kura za wananchi, inaenda na bao la mkono, yaani kupora ushindi wa vyama vingine kwa njia chafu. Rais Samia naye aliwahi kutamka kuwa wananchi hata wakivipigia kura vyama vya upinzani, lakini kura hizo walizowapa wapinzani zitahesabika CCM.

Bashiru naye aliwahi kusema kuwa CCM itashinda kwa kutumia dola.

Safari hii Nape amefafanua ni namna gani CCM huwa inafanya kwenye bao la mkono, na ni kwa namna gani zile kura za wapinzani huwa zinahesabiwa CCM, kama alivyowahi kutamka Rais Samia. Nape alichokisema ni kuwa wanaitumia Tume ya Uchaguzi kupitia wasimamizi wa uchaguzi. Na hiyo ndiyo sababu kuu ambayo Rais Samia amekataa kabisa kuifanya Tume ya Uchaguzi kuwa Huru, katika ile maana halisi ya kuwa huru.

Tumshukuru sana Nape kwa kukiri bila woga kuwa CCM huwa wanapora maamuzi ya wananchi, jambo ambalo kila.mtu alikuwa anajua. Hapa mchawi ameingiwa na utashi angalao wa kuunena uchawi wake na jinsi ambavyo amekuwa akiwaua wanadamu wenzake.

Wananchi tutambue kuwa chini ya CCM, kamwe wizi, ufisadi na kila uchafu, haviwezi kwisha. Aliyeingia kwa uchafu, uchafu unakuwa ndiyo dini yake, hawezi kuja kuusaliti uchafu ambao ndio ulimpa madaraka ambayo daima anayataka.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

- Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

- Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

- Kuelekea 2025 - Huyu ndiyo waziri anayetupa majibu kuwa hakuna uchaguzi wa haki hapa Tanzania
Nape amesema ukweli, na huo ndio msimamo wa ccm kama chama. Kwa ilipofikia ccm uwezo wa kuendelea kushinda kihalali haupo, na hautakaa uwepo. Ni wendawazimu kuendelea kushiriki kwenye chaguzi ambazo tayari ccm wameshapanga matokeo

Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataresha heshima ya box la kura. Kinyume na hapo kuendelea kushiriki kwenye chaguzi zetu ni matumizi mabaya ya raslimali muda.
 
CCM, kiuhalisia, kamwe haiwezi kuheshimu demokrasia wala haki za wananchi kuwachagua watu wanaotaka wawaongoze.

CCM inaamini katika kupora kura au kupora maamuzi ya wananchi. Inaamini zaidi katika wizi kwenye kila jambo.

Mwizi huwa hachagui cha kuiba. Ndiyo maana wakishaiba kura, au wakaamua kuiba maamuzi ya wananchi kwa kujitangaza ni washindi, wakishaunda Serikali wanaendelea kuiba kodi za wananchi kila mwaka (reports za CAG) zinathibitisha hilo. Wanaendelea kupora mpaka rasilimali za nchi (IGA kwenye bandari, mikataba ya kupora mbuga za wanyama na hifadhi za misitu, viwanja vya ndege na mradi wa mabasi ya mwendokasi; vyote vinathibitisha hilo).

Nape, aliyoyasema siyo kwa bahati mbaya. Anajua jinsi ambavyo wamekuwa wakifanya wakati wote kwenye uchaguzi. Anajua kuwa CCM haitegemei kura za wananchi. Kuondoka kwake CCM lazima iwe ni kwa nguvu, na siyo sanduku la kura. Awali Nape aliwahi kusema kuwa CCM ni lazima ishinde, isipopata kura za wananchi, inaenda na bao la mkono, yaani kupora ushindi wa vyama vingine kwa njia chafu. Rais Samia naye aliwahi kutamka kuwa wananchi hata wakivipigia kura vyama vya upinzani, lakini kura hizo walizowapa wapinzani zitahesabika CCM.

Bashiru naye aliwahi kusema kuwa CCM itashinda kwa kutumia dola.

Safari hii Nape amefafanua ni namna gani CCM huwa inafanya kwenye bao la mkono, na ni kwa namna gani zile kura za wapinzani huwa zinahesabiwa CCM, kama alivyowahi kutamka Rais Samia. Nape alichokisema ni kuwa wanaitumia Tume ya Uchaguzi kupitia wasimamizi wa uchaguzi. Na hiyo ndiyo sababu kuu ambayo Rais Samia amekataa kabisa kuifanya Tume ya Uchaguzi kuwa Huru, katika ile maana halisi ya kuwa huru.

Tumshukuru sana Nape kwa kukiri bila woga kuwa CCM huwa wanapora maamuzi ya wananchi, jambo ambalo kila.mtu alikuwa anajua. Hapa mchawi ameingiwa na utashi angalao wa kuunena uchawi wake na jinsi ambavyo amekuwa akiwaua wanadamu wenzake.

Wananchi tutambue kuwa chini ya CCM, kamwe wizi, ufisadi na kila uchafu, haviwezi kwisha. Aliyeingia kwa uchafu, uchafu unakuwa ndiyo dini yake, hawezi kuja kuusaliti uchafu ambao ndio ulimpa madaraka ambayo daima anayataka.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

- Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

- Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

- Kuelekea 2025 - Huyu ndiyo waziri anayetupa majibu kuwa hakuna uchaguzi wa haki hapa Tanzania
Nape aliwahi kumjibu mtu twitter 2020👇🏾

View: https://x.com/HildaNewton21/status/1813568640828231856?t=Dzv-OCLUpvjKyhFhSxVehQ&s=19

20240717_225012.jpg


Ngumu sana kwa chui kuficha madoa ya kwenye ngozi yake
 
Kijana mpumbuvu ni wewe siyo wananchi, siye tumeamua kumwomba MUNGU atusaidie kuindoa CCM
Mungu alitupa akili tuzitumie kuamua mambo ambayo hatuhitaji kuomba ili kuyatatua lakini wewe ulivyo kua mpumbavu na akili zako za kitoto unategemea ccm itatoka nadarakani kwa kuomba umevuta bangi ya wapi🤔 endelea kua mpumbavu hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom