Nilikuwa sehemu wanatumia Internet hiyo inayosemwa ya fibre, mkongo wa taifa sijui, waliponiambia kuwa iko chini ya TTCL ndo nikaelewa. Jinsi ilivyo kwa sasa, umeme wa Tanesco una afadhali, internet inakataa kwa saa 23.5 kwa siku!
Tarehe 18 mwezi huu kuna mabadiliko mapya ya vifurushi yatafanyika. Hiyo ni kwa mujibu wa jumbe za kampuni husiko walizotuma. Kikubwa tulichokuwa tunaumia watumia mabando ya kwenye simu ni kwa upande wa Internet Bundles ambazo zimekuwa zikishushwa kiwango kila kunapofanyika mabadiliko. Je na...
Daaah ...hivi hawa Halotel ni kwangu tu au kwa wote....zamani Gb 1 naona mpira hadi dakika 90 zinaisha jana nimenunua GB 1 hata half time sikufika kimeisha nini shida jamani??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.