Nape bwana! Muda wake mwingi kautumia kumsifia Rais

Nape bwana! Muda wake mwingi kautumia kumsifia Rais

wababayangu

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
814
Reaction score
1,107
Mjadala wa leo Bungeni ni mjadala muhimu sana kwa watanzania. Lengo mahsusi la mjadala wa leo ni wabumge kutoa elimu au kuwapa mwamga watanzania kuhusu malalamiko mengi ya wananchi kuhusu ubinafisishwaji wa bandari ya DSM

Mh Nape mda wake wote, mwanzo mwisho kautumia kumsifia Rais badala ya kutoa elimu ya umuhimu wa kubinafisisha bandari. Mwisho anahitimisha mchango wake kwa kumnanga JPM kwamba katika mkataba wa bomba la mafuta la Hoima haukuwa na uwazi na haukujadiliwa bungeni. Na mh spika hakuuficha unafiki wake kwa kumjibu kwamba mkataba huo ulijadiliwa bungeni

KWELI JASILI HAACHI ASILI. MH NAPE NI CHAWA ANAETIA AIBU HATA FAMILY YAKE
 
Mjadala wa leo Bungeni ni mjadala muhimu sana kwa watanzania. Lengo mahsusi la mjadala wa leo ni wabumge kutoa elimu au kuwapa mwamga watanzania kuhusu malalamiko mengi ya wananchi kuhusu ubinafisishwaji wa bandari ya DSM

Mh Nape mda wake wote, mwanzo mwisho kautumia kumsifia Rais badala ya kutoa elimu ya umuhimu wa kubinafisisha bandari. Mwisho anahitimisha mchango wake kwa kumnanga JPM kwamba katika mkataba wa bomba la mafuta la Hoima haukuwa na uwazi na haukujadiliwa bungeni. Na mh spika hakuuficha unafiki wake kwa kumjibu kwamba mkataba huo ulijadiliwa bungeni

KWELI JASILI HAACHI ASILI. MH NAPE NI CHAWA ANAETIA AIBU HATA FAMILY YAKE
Binafsi nimemshangaa sana, badala ya kutoa elimu ya faida na hasara za mkataba anapendekeza eti kudeal na wenye mawazo tofauti na makusudi ya serikali kwenye mkataba wenyewe. Mh.Nape hoja hujibiwa kwa hoja na kwa upole na upendo na ndipo mtu aelewe vema sio ukali na vitisho unaharibu maana ya majadiliano .
 
Nape akichangia bungeni leo kuhusu makubaliano ya dubai na tanzania kuhusu kampuni ya mtawala wa dubai kupewa bandari za tanzania alionekana mkali na kufoka kwenye tbc bunge live. Na tena akionekana mnene kanawiri nadhani sasa halambi asali tu bali ameingia kwenye mzinga. Kama kawaida yake alisifu sana mama. Bila shaka ni kwa kumpa mkate baada ya jpm kumtemesha ulaji.
Hata hivyo nape nnauye alisifia sana mama na kumlaani kiongozi wa chadema kwa kuona wazenji wana nia ya kugawana na waarabu tanganyika.
Sisi watanzania tumuombe mungu atunusuru na huu wanaita uwekezaji wakati wengi tunaona ni unyonyaji mtupu unapangwa.
 
Mjadala wa leo Bungeni ni mjadala muhimu sana kwa watanzania. Lengo mahsusi la mjadala wa leo ni wabumge kutoa elimu au kuwapa mwamga watanzania kuhusu malalamiko mengi ya wananchi kuhusu ubinafisishwaji wa bandari ya DSM

Mh Nape mda wake wote, mwanzo mwisho kautumia kumsifia Rais badala ya kutoa elimu ya umuhimu wa kubinafisisha bandari. Mwisho anahitimisha mchango wake kwa kumnanga JPM kwamba katika mkataba wa bomba la mafuta la Hoima haukuwa na uwazi na haukujadiliwa bungeni. Na mh spika hakuuficha unafiki wake kwa kumjibu kwamba mkataba huo ulijadiliwa bungeni

KWELI JASILI HAACHI ASILI. MH NAPE NI CHAWA ANAETIA AIBU HATA FAMILY YAKE
Asali tamu sana,inaondoa hata akili ile ya Kawaida(Common sense).
 
Nadhani jana kwenye hicho kikao chao cha kamati yao ya chama cha Wabunge wa chama twawala, walielekezwa kufanya hayo;
1.Kumsifia sana Mama
2.Kumponda Mbowe
3.Kutisha wenye mawazo tofauti na wao
4.Kutoa taarifa,kwa wabunge wenye mawazo kingamo
..tunasafari ndefu sana,nadhani tuongeze nguvu ya kudai KATIBa MPYA ILIYO BORA
 
Back
Top Bottom