Nape bwana! Muda wake mwingi kautumia kumsifia Rais

Nape bwana! Muda wake mwingi kautumia kumsifia Rais

Mjadala wa leo Bungeni ni mjadala muhimu sana kwa watanzania. Lengo mahsusi la mjadala wa leo ni wabumge kutoa elimu au kuwapa mwamga watanzania kuhusu malalamiko mengi ya wananchi kuhusu ubinafisishwaji wa bandari ya DSM

Mh Nape mda wake wote, mwanzo mwisho kautumia kumsifia Rais badala ya kutoa elimu ya umuhimu wa kubinafisisha bandari. Mwisho anahitimisha mchango wake kwa kumnanga JPM kwamba katika mkataba wa bomba la mafuta la Hoima haukuwa na uwazi na haukujadiliwa bungeni. Na mh spika hakuuficha unafiki wake kwa kumjibu kwamba mkataba huo ulijadiliwa bungeni

KWELI JASILI HAACHI ASILI. MH NAPE NI CHAWA ANAETIA AIBU HATA FAMILY YAKE
Ukiona hivyo, jua hana sifa. Ni choko na kahabaa kisiasa. Nadhani kusifia huu muungu wao ndiyo sera aliiyoanzisha Magufuli asijue madhara yake. Watasifiana hata kunyaaa
 
Huyo jamaa sijawahi kumuelewa kabisa na mpaka rangi mawe....
.
20230411_212502.jpg
 
Tena hua anaongea kwa kujiamini sana wakati ni kichwamaji tu
Leo namuona anaongea mabega yote kayapandisha juu km anakata kupaa,afu mikwara kibao yan jamaa msenge sana yule,mzee wa hatukubali yan km amepanga kumtafutia mbowe watu wakaishi nae
 
Mjadala wa leo Bungeni ni mjadala muhimu sana kwa watanzania. Lengo mahsusi la mjadala wa leo ni wabumge kutoa elimu au kuwapa mwamga watanzania kuhusu malalamiko mengi ya wananchi kuhusu ubinafisishwaji wa bandari ya DSM

Mh Nape mda wake wote, mwanzo mwisho kautumia kumsifia Rais badala ya kutoa elimu ya umuhimu wa kubinafisisha bandari. Mwisho anahitimisha mchango wake kwa kumnanga JPM kwamba katika mkataba wa bomba la mafuta la Hoima haukuwa na uwazi na haukujadiliwa bungeni. Na mh spika hakuuficha unafiki wake kwa kumjibu kwamba mkataba huo ulijadiliwa bungeni

KWELI JASILI HAACHI ASILI. MH NAPE NI CHAWA ANAETIA AIBU HATA FAMILY YAKE
Huyo ni panya road
 
Ndugu mwananchi. Kaa kwa kutulia. 'Kaa mkao wa kula'.
Kuna badhi ya vigogo tutawatema by 2025!
Mkeka utatoka mwezi wa nane 2023.
Kwa sasa msinung'unike. Kaeni 'mkao wa kula'.
 
Majamaa wanakera sana yaani mapro tumbo
 
Nape lini ashawahi kuwa na akili za kuwa waziri au mbunge muhuni tu aliyebebwa na uozo wa CCM kukumbatia watu wajinga
 
Nape Nnauye tupitishe mkataba huu kwa kishindo ili kutuma Ujumbe" sasa nape kwa akili yako fupi" unadhani una mkomoa Mbowe au Ukoo na kizazi chako?
Wanatuma ujumbe kwa wananchi kuwa nchi ni ya watawala
 
Alichangia ujinga sana tena sana muda wote yeye vijembe tu. Huyu ndio maana Magu alimtembeza kilometa moja na kupiga magoti kuomba msamaha. Ni mnafiki sana Nape. Kachangia ujinga uliokomaa yeye anafananisha mkataba kati ya bomba la mafuta la Uganda na huu wa Dubai na Tanzania anasema mkataba unafanana kila kitu. Nikajiuliza huyo kasoma kweli?. Jana kanisikitisha sana yeye na Mwita Waitara ni watu wa hovyo sana.
 
Tz Ina Kila kitu isipokuwa viongozi wenye vision tuuu !! Ndio tatizo
Iko shida moja kubwa Tanzanian. Kubebana. Mtoto wa fulani ni lazima apewe heshima ya wazazi wake. Hilo ndiyo tatizo kubwa. Kuna baadhi ya mawaziri hawakutakiwa katika nafasi walizonazo. Lakini kupitia wazazi wao ni viongozi wa kitaifa.
 
Back
Top Bottom