Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
W.J.Malecela should take a chill pill and relax,This Constitutional Proposal is for the National interest and not for the Chama cha Mapinduzi's interest.Malecela Junior should take that into his big head.
Nape Nnauye , inasikitisha sana kijana wa umri huo una upeo huo.Nape Nnauye,
Hiyo mijadala unaifanyia wapi ili nasi watanganyika tujumuike nawe kujadiliana kwa hoja? Hatukuoni kwenye mijadala yoyote; Vinginevyo, kwa manufaa ya CCM, ni muhimu kamati kuu ya CCM (wewe ukiwa ni mmoja wa wajumbe wake) muelewe kwamba imefikia mahali ambapo wananchi wengi wataweza kustahimili kwa urahisi sana kifo cha ccm kuliko watakavyoweza kustahimili kifo cha Tanganyika;
- Binafsi sina imani kabisa na hii tume kwa sababu hawana busara wala ustaarabu, CCM ni chama cha Siasa sio cha mpira wa miguu ni lazima isimamie interest yake kwa kuwaelimisha wanachama wake what is good and what is not good in the long run kwa CCM as chama cha siasa chenye lengo la kushika dola. Hawa kamati ya tume ya Katiba kwa nini wasianzishe chama cha siasa cha kutaka Serikali Tatu?
- Hawawezi kupitisha agenda zao under the expense of Kamati ya Katiba, mimi siwapendi hasa pale wanapojaribu kutumia nguvu kubwa sana na vitisho kulazimisha wanachama wa CCM kukubali mawazo yao mgando sana, waondolewe haraka sana!!
Le Mutuz
Hapo ni kweli kabisa heri kifo cha CCM kuliko Kifo cha Tanganyika yangu.Nape Nnauye,
Hiyo mijadala unaifanyia wapi ili nasi watanganyika tujumuike nawe kujadiliana kwa hoja? Hatukuoni kwenye mijadala yoyote; Vinginevyo, kwa manufaa ya CCM, ni muhimu kamati kuu ya CCM (wewe ukiwa ni mmoja wa wajumbe wake) muelewe kwamba imefikia mahali ambapo wananchi wengi wataweza kustahimili kwa urahisi sana kifo cha ccm kuliko watakavyoweza kustahimili kifo cha Tanganyika;
Baba yako Mzee Malecela si ndiye muasisi wa serikali tatu mpaka Mwl Nyerere akamfukuza uwaziri mkuu?
Mkuu @W.J.Malecela nilidhani muda uliokaa nje ya nchi umekusaidia lakini sioni hilo katika mawazo yako upo kama wazee wa kijijini aliyenyimwa elimu ili aweze kutawaliwa,aliyenyimwa fursa ya kupata habari ili mawazo na fikra zake zake zidumae na hatimaye akubali umasikini alionao ni mpango wa Mungu wakati rasilimali zilizomzunguka ardhi,madini and other resources ni kwaajili ya warasimu waliojazana katika mawizara yetu.
- Ni maneno ya Upinzani ila hayana anything to do na the ishu hapa, eti msimamo wako ni upi maana wangu umeuona?
Le Mutuz
- Ni maneno ya Upinzani ila hayana anything to do na the ishu hapa, eti msimamo wako ni upi maana wangu umeuona?
Le Mutuz