eti ndo rais mtarajiwa kila baada ya sentnsi 2 "au sio" mara "au sio mazee" duuhhh shidajuzi usiku nimemwona makongoro mitaa ya ufipa,sijui anataka kukimbia ccm!!halafu tabia yake ya kupiga misele na lile vx la east africa aache,yani mateja ya pale american chips kinondoni ndio washikaji zake...
Yupo ambae hali rushwa wala hanunui uongozi naye ni Jaji Agustino Ramadhani[/QUOTE]
Ni kweli ana sifa hizo, ila hana uwezo wa kuwashinda Ukawa. Turufu pekee ya ccm kurudi ikulu kiulaini ni Makongoro Nyerere
Yupo ambae hali rushwa wala hanunui uongozi naye ni Jaji Agustino Ramadhani
Yupo ambae hali rushwa wala hanunui uongozi naye ni Jaji Agustino Ramadhani[/QUOTE]
Ni kweli ana sifa hizo, ila hana uwezo wa kuwashinda Ukawa. Turufu pekee ya ccm kurudi ikulu kiulaini ni Makongoro Nyerere
kweli ramadhani hauziki wala wanaccm na watanzania hawamjui wengine waliposikia amechukua form waliuliza hivi na huyu yuko ccm tangu lini, hauziki na haffmiki watatumia nguvi nyingi kumuuza wakati wenzao wanaomba kura ccm wakimpitisha ramadhani watakuwa wanafanya kazi ya kumuunza kwanza na kumuombea kura itakuwa kazi ngumu sana ambayo kuifanya inaitaji moyo sana ,
kweli ramadhani hauziki wala wanaccm na watanzania hawamjui wengine waliposikia amechukua form waliuliza hivi na huyu yuko ccm tangu lini, hauziki na haffmiki watatumia nguvi nyingi kumuuza wakati wenzao wanaomba kura ccm wakimpitisha ramadhani watakuwa wanafanya kazi ya kumuunza kwanza na kumuombea kura itakuwa kazi ngumu sana ambayo kuifanya inaitaji moyo sana ,
Exactly mkuu
Yupo ambae hali rushwa wala hanunui uongozi naye ni Jaji Agustino Ramadhani[/QUOTE]
Ni kweli ana sifa hizo, ila hana uwezo wa kuwashinda Ukawa. Turufu pekee ya ccm kurudi ikulu kiulaini ni Makongoro Nyerere
Mwenye uthubutu wa kuikataa rushwa na kuipinga kwa moyo na nguvu ya kweli ni Makongoro,wengine wanasema wanaipinga huku wanaangalia pembeni hii ni kumaanisha wanaipinga kwa kufuata mkumbo tu
Mwenye uthubutu wa kuikataa rushwa na kuipinga kwa moyo na nguvu ya kweli ni Makongoro,wengine wanasema wanaipinga huku wanaangalia pembeni hii ni kumaanisha wanaipinga kwa kufuata mkumbo tu
ubaya wa ccm kuanzia viongozi mpaka wanachama wao wamejijengea kwamba uwezi kuwa kiongozi bila kutoa kitu kidogo kwa maana ya rushwa, sasa hapo ndipo kwenye mtihani mkubwa
ubaya wa ccm kuanzia viongozi mpaka wanachama wao wamejijengea kwamba uwezi kuwa kiongozi bila kutoa kitu kidogo kwa maana ya rushwa, sasa hapo ndipo kwenye mtihani mkubwa
Tatizo siyo ndani ya ccm mkuu, tatizo ni huku kwa wananchi, tayari ccm wameishagundua wananchi wanachukia sana mambo ya ufisadi na rushwa, ndo maana wanataka apatikane mgombea msafi, anayekubalika kwa wananchi, ili hata akisimama kumuuza mgombea wa ccm wa ubunge na udiwani wananchi wapate kumsikiliza
Nitajie yupi sio mwizi ccmNamuunga mkono nape nami ntaungana naye kupinga hao mafisadi hatutaki hata kuwasikia wakale hizo pesa walizoiba inatosha sasa.
Labda kidoogo namba 3 waliobaki ni vibaka tunaongezea mwengine
1,magufuli
2,mwandosya
3,makongolo