Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

Akili = akiri

Si unaona akili zenu zilivyo? Neno moja linabadilisha kabisa maana ya sentensi, mkiambiwa shule mlienda kusomea ujinga mnapayuka.
We Dada MTU anaweza kudhani huwa umeelimika asipokuelewa vizuri. Unaexposure lkn ushamba wakisisiemu umekuganda.Elewa kimantiki wewe,mbona hata kiinglish cha marekani na ingland kinatofautiana? Mbona Warusi wanaongea lafudhi tofauti na kuweka ma "r" mengi lkn wanaeleweka!
Ongelea hoja,mmeanza kupingana juu ya bunge live,bado ndege zakusukumwa nawatu kama maguta,bado kufunga viongozi kisa kutofautiana hoja,bado uendeshwaji wabunge,bado mahakama kuingiliwa,bado kuzuia mikutano ya wapinzani,bado elimu bure ilododa,bado koroshow,bado viwanda feki,bado utekaji na uteswaji na upotezwaji wawatu,bado uchumi doro na uwekezaji mdogo,bado pesa kushuka thamani,bado madc viherehere,bado katiba mpya kusimamishwa namtu mmoja....nk. ongezea mengine maana unayajua
 
Huyo hawaga namwita kigagula tu maana hana lolote zaidi ya kuwangia watu
We Dada MTU anaweza kudhani huwa umeelimika asipokuelewa vizuri. Unaexposure lkn ushamba wakisisiemu umekuganda.Elewa kimantiki wewe,mbona hata kiinglish cha marekani na ingland kinatofautiana? Mbona Warusi wanaongea lafudhi tofauti na kuweka ma "r" mengi lkn wanaeleweka!
Ongelea hoja,mmeanza kupingana juu ya bunge live,bado ndege zakusukumwa nawatu kama maguta,bado kufunga viongozi kiss kutofautiana hoja,bado uendeshwaji wabunge kiubabe was kitoto,bado mahakama kuingiliwa,bado kuzuia mikutano ya wapinzani,bado elimu bure ilododa,bado koroshow,bado viwanda feki,bado utekaji na uteswaji na upotezwaji wawatu,bado uchumi doro na uwekezaji mdogo,bado pesa kushuka thamani,bado madc viherehere,bado katiba mpya kusimamishwa namtu mmoja....nk. ongezea mengine maana unayajua

In God we Trust
 
Duuu hiyo system imewapumbaza wengi hadi maporopesa sasa hivi wamekuwa ni mazuzu tu
In God we Trust
 
Wewe ndiyo kabisa umebakia debe tupu kichwani
Zako uliziacha siku nyingi hivi sasa unafuata tu midundo!
tapatalk_1550642956136.jpeg


In God we Trust
 
Back
Top Bottom