Pre GE2025 Nape kuendelea kung'ang'ania madarakani na Rais Samia kuzidi kukaa kimya kunazidi kuiangamiza CCM

Pre GE2025 Nape kuendelea kung'ang'ania madarakani na Rais Samia kuzidi kukaa kimya kunazidi kuiangamiza CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo hizo, akamfundisha Mbunge Byabato, kuwa kushinda uchaguzi hapa nchini, inategemea ni nani anahesabu kura na nani anatangaza matokeo hayo na hakutokani na matokeo ya box la kura!

Hiyo ni kashfa kubwa sana ambayo inaweza kusababisha machafuko makubwa nchini ya umwagikaji wa damu, ambapo alistahili Mheshimiwa Nape, ajiuzulu mara moja na kama hataki kujiuzulu, mamlaka iliyomteua, ambayo ni Rais atengue uteuzi wake mara moja.

Kinyume chake hatuoni dalili zozote za Nape kujiuzulu wala Rais aliyemteua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi!

Tafsiri tunayopata sisi wananchi ni kuwa, hata Rais anaunga mkono kauli hiyo ya Nape, kuwa matokeo ya kura za nchi hii, hayategemei box la kura, bali inategemea Tume ya uchaguzi, inayotangaza matokeo!

Mimi naamini ingekuwa kwenye nchi nyingine inayotekeleza Demokrasia Kwa umakini, ni lazima mtu wa aina ya Nape angewajibika mara moja kabla hata ya kusubiri mamlaka iliyomteua, kumfukuza kazi.

Kitu kingine ambacho nimekibaini ni kuwa hata hizi 4R's anazojidai nazo Rais Samia, kumbe ni changa la macho!😎

Kitu kingine kinachonishangaza ni kuona kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM, ameikana kauli hiyo ya Nape, lakini wakiendelea kumkumbatia!

Sasa kama Katibu Mwenezi wa CCM ameikana hiyo kauli ya Nape na kuiita ni yake binafsi, inayodai kuwa CCM hawategemei, kura zinazopigwa katika mabox ya kura, je ni kwanini nyiye CCM mnaendelea kumkumbatia Nape??😎

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
 
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mheshimiwa Nape, aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo hizo, akamfundisha Mbunge Byabato, kuwa kushinda uchaguzi hapa nchini, inategemea ni nani anahesabu kura na nani anatangaza matokeo hayo na hakutokani na matokeo ya box la kura!

Hiyo ni kashfa kubwa sana,ambayo inaweza kusababisha machafuko makubwa nchini ya umwagikaji wa damu, ambapo alistahili Mheshimiwa Nape, ajiuzulu mara moja na kama hataki kujiuzulu, mamlaka iliyomteua, ambayo ni Rais atengue uteuzi wake mara moja.

Kinyume chake hatuoni dalili zozote za Nape kujiuzulu Wala Rais aliyemteua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi!

Tafsiri tunayopata sisi wananchi ni kuwa, hata Rais anaunga mkono kauli hiyo ya Nape, kuwa matokeo ya kura za nchi hii, hayategemei box la kura, Bali inategemea Tume ya uchaguzi, inayotangaza matokeo!

Mimi naamini ingekuwa Kwenye nchi nyingine, inayotekeleza Demokrasia Kwa umakini, ni lazima mtu wa aina ya Nape angewajibika mara moja, kabla hata ya kusubiri mamlaka iliyomteua, kumfukuza kazi.

Kitu kingine ambacho nimekibaini ni kuwa hata hizi 4R's anazojidai nazo Rais Samia, ni changa la macho!😎
Samia mwenyewe alisema hata mkipigia kura vyama vingine ccm ndio wataunda serikali. Ni walewale.
 
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mheshimiwa Nape, aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo hizo, akamfundisha Mbunge Byabato, kuwa kushinda uchaguzi hapa nchini, inategemea ni nani anahesabu kura na nani anatangaza matokeo hayo na hakutokani na matokeo ya box la kura!

Hiyo ni kashfa kubwa sana,ambayo inaweza kusababisha machafuko makubwa nchini ya umwagikaji wa damu, ambapo alistahili Mheshimiwa Nape, ajiuzulu mara moja na kama hataki kujiuzulu, mamlaka iliyomteua, ambayo ni Rais atengue uteuzi wake mara moja.

Kinyume chake hatuoni dalili zozote za Nape kujiuzulu Wala Rais aliyemteua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi!

Tafsiri tunayopata sisi wananchi ni kuwa, hata Rais anaunga mkono kauli hiyo ya Nape, kuwa matokeo ya kura za nchi hii, hayategemei box la kura, Bali inategemea Tume ya uchaguzi, inayotangaza matokeo!

Mimi naamini ingekuwa Kwenye nchi nyingine, inayotekeleza Demokrasia Kwa umakini, ni lazima mtu wa aina ya Nape angewajibika mara moja, kabla hata ya kusubiri mamlaka iliyomteua, kumfukuza kazi.

Kitu kingine ambacho nimekibaini ni kuwa hata hizi 4R's anazojidai nazo Rais Samia, ni changa la macho!😎
Samia aliwahi kutoa kauli kama hiyo, usitegemee samia amwajibishe nape. Wote ni hao hao
Nchi hii ina bahati mbaya na presidents!
 
Nape upo sahihi, kwani kuna mtu hajui namna CCM tunavyoporaga uchaguzi.
Msafi yeyote ndani ya chama asimame tumuone.

Huyo Makala tukimwachia chama atapata hata diwani mmoja 2025? Atuache.
 
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mheshimiwa Nape, aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo hizo, akamfundisha Mbunge Byabato, kuwa kushinda uchaguzi hapa nchini, inategemea ni nani anahesabu kura na nani anatangaza matokeo hayo na hakutokani na matokeo ya box la kura!

Hiyo ni kashfa kubwa sana,ambayo inaweza kusababisha machafuko makubwa nchini ya umwagikaji wa damu, ambapo alistahili Mheshimiwa Nape, ajiuzulu mara moja na kama hataki kujiuzulu, mamlaka iliyomteua, ambayo ni Rais atengue uteuzi wake mara moja.

Kinyume chake hatuoni dalili zozote za Nape kujiuzulu Wala Rais aliyemteua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi!

Tafsiri tunayopata sisi wananchi ni kuwa, hata Rais anaunga mkono kauli hiyo ya Nape, kuwa matokeo ya kura za nchi hii, hayategemei box la kura, Bali inategemea Tume ya uchaguzi, inayotangaza matokeo!

Mimi naamini ingekuwa Kwenye nchi nyingine, inayotekeleza Demokrasia Kwa umakini, ni lazima mtu wa aina ya Nape angewajibika mara moja, kabla hata ya kusubiri mamlaka iliyomteua, kumfukuza kazi.

Kitu kingine ambacho nimekibaini ni kuwa hata hizi 4R's anazojidai nazo Rais Samia, ni changa la macho!😎


Nape ameongea ukweli

Na wanajua kasema ukweli

Na ule ndio ukweli 100%
 
Lawama zote zipelekwe kwa vyombo vya ulinzi na usalama, hao ndio wanaruhusu wizi wa kura.
 
  • Thanks
Reactions: I M
Aliyoyasema ni kweli tupu 100%

Sasa majizi yanajiuliza yamtose au yafunike kombe mwanaharamu apite?
Kuendelea kumkumbatia Nape, ndiyo kunazidi kukiangamiza chama Chao, Kwa kuwa hata wananchi tuliokuwa na Imani kiasi kidogo, baada ya kuondoka Mwendazake, tunaanza kurudi nyuma na kukiona chama hicho Cha CCM kuwa ni chama Cha hovyo kabisa na Kila anayekiongoza chama hicho ni mwizi wa kura😎
 
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mheshimiwa Nape, aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo hizo, akamfundisha Mbunge Byabato, kuwa kushinda uchaguzi hapa nchini, inategemea ni nani anahesabu kura na nani anatangaza matokeo hayo na hakutokani na matokeo ya box la kura!

Hiyo ni kashfa kubwa sana,ambayo inaweza kusababisha machafuko makubwa nchini ya umwagikaji wa damu, ambapo alistahili Mheshimiwa Nape, ajiuzulu mara moja na kama hataki kujiuzulu, mamlaka iliyomteua, ambayo ni Rais atengue uteuzi wake mara moja.

Kinyume chake hatuoni dalili zozote za Nape kujiuzulu Wala Rais aliyemteua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi!

Tafsiri tunayopata sisi wananchi ni kuwa, hata Rais anaunga mkono kauli hiyo ya Nape, kuwa matokeo ya kura za nchi hii, hayategemei box la kura, Bali inategemea Tume ya uchaguzi, inayotangaza matokeo!

Mimi naamini ingekuwa Kwenye nchi nyingine, inayotekeleza Demokrasia Kwa umakini, ni lazima mtu wa aina ya Nape angewajibika mara moja, kabla hata ya kusubiri mamlaka iliyomteua, kumfukuza kazi.

Kitu kingine ambacho nimekibaini ni kuwa hata hizi 4R's anazojidai nazo Rais Samia, ni changa la macho!😎
KIlicho bakia ni kusahaulika kwake tu kama kufa tayari
 
  • Thanks
Reactions: I M
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mheshimiwa Nape, aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo hizo, akamfundisha Mbunge Byabato, kuwa kushinda uchaguzi hapa nchini, inategemea ni nani anahesabu kura na nani anatangaza matokeo hayo na hakutokani na matokeo ya box la kura!

Hiyo ni kashfa kubwa sana,ambayo inaweza kusababisha machafuko makubwa nchini ya umwagikaji wa damu, ambapo alistahili Mheshimiwa Nape, ajiuzulu mara moja na kama hataki kujiuzulu, mamlaka iliyomteua, ambayo ni Rais atengue uteuzi wake mara moja.

Kinyume chake hatuoni dalili zozote za Nape kujiuzulu Wala Rais aliyemteua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi!

Tafsiri tunayopata sisi wananchi ni kuwa, hata Rais anaunga mkono kauli hiyo ya Nape, kuwa matokeo ya kura za nchi hii, hayategemei box la kura, Bali inategemea Tume ya uchaguzi, inayotangaza matokeo!

Mimi naamini ingekuwa Kwenye nchi nyingine, inayotekeleza Demokrasia Kwa umakini, ni lazima mtu wa aina ya Nape angewajibika mara moja, kabla hata ya kusubiri mamlaka iliyomteua, kumfukuza kazi.

Kitu kingine ambacho nimekibaini ni kuwa hata hizi 4R's anazojidai nazo Rais Samia, ni changa la macho!😎
Nape ni ccm na ccm ni nape!
 
  • Thanks
Reactions: I M
Kwa matamshi ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape aliyoyatoa majuzi huko Kagera, kuhusu mbinu anazozijua yeye ya namna ya kupata ushindi Kwenye chaguzi zetu na mbinu hizo hizo, akamfundisha Mbunge Byabato, kuwa kushinda uchaguzi hapa nchini, inategemea ni nani anahesabu kura na nani anatangaza matokeo hayo na hakutokani na matokeo ya box la kura!

Hiyo ni kashfa kubwa sana ambayo inaweza kusababisha machafuko makubwa nchini ya umwagikaji wa damu, ambapo alistahili Mheshimiwa Nape, ajiuzulu mara moja na kama hataki kujiuzulu, mamlaka iliyomteua, ambayo ni Rais atengue uteuzi wake mara moja.

Kinyume chake hatuoni dalili zozote za Nape kujiuzulu wala Rais aliyemteua kufanya maamuzi ya kumtimua kazi!

Tafsiri tunayopata sisi wananchi ni kuwa, hata Rais anaunga mkono kauli hiyo ya Nape, kuwa matokeo ya kura za nchi hii, hayategemei box la kura, bali inategemea Tume ya uchaguzi, inayotangaza matokeo!

Mimi naamini ingekuwa kwenye nchi nyingine inayotekeleza Demokrasia Kwa umakini, ni lazima mtu wa aina ya Nape angewajibika mara moja kabla hata ya kusubiri mamlaka iliyomteua, kumfukuza kazi.

Kitu kingine ambacho nimekibaini ni kuwa hata hizi 4R's anazojidai nazo Rais Samia, kumbe ni changa la macho![emoji41]

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Angefumaniwa angefukuzwa kazi!!
 
Back
Top Bottom