Nape kwa maneno yako chama kimerudi kwa wenyewe unamaanisha nini?

Nape kwa maneno yako chama kimerudi kwa wenyewe unamaanisha nini?

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Bwana Nape nikukumbushe tu hii nchi sio ya CCM wala ya Baba yako! Unataka kuuamisha uma ya kuwa nje ya kundi unaloliona wewe basi CCM haipo wala nchi haitawaliki! CCM itapita lakini Tanzania itabakia na kitu kikubwa kukumbuka ni kuwa Taifa ni zaidi ya ukoo au kikundi. Unauhuru wa kutoa mawazo lakini ujue kitakachokufanya wewe Nape uaminike sio ulizaliwa na nani bali ni utendaji wako wa kazi!
 
Wenyewe akina nani this boy is very hopeless I wish mama Samia would have sacked him out of CCM.

Hivi huyu angekuwa ni mtoto wa Nyerere au Karume si angeleta vita nchi hii?

Tufike mahala watu wa aina ta Nape wazee wanaxomewa kwani hawana uadilifu mahala popote pale ktk nchi hii.

Ndani ya ccm alifanya ufisadi mkubwa report ya Dr Bashir Ally iko wazi lakini bado anajiona ni Kiongozi muadilifu wa umma.

Mama nakushauri ondoa hawa watu sio wema Kwako..
 
Ndo nimemaanisha hivo ulivonisoma zaidi nitafute
 
Hao ndiyo viongozi wetu ambao wakiambiwa na wenye akili kuwa tunataka Katiba mpya wao wanang'aka. Tunahitaji fikra mpya, kwa Tanzania yetu CDM wanayo nafasi kubwa ya kufanya mageuzi.
 
Kumbishia Nape kwamba Chama kimerudi kwa wenyewe wakati kila mtu anaona kimerudi kwa wamiliki wake ni kujidanganya. Nyie mlitunga hadi nyimbo mkasema CCM ina wenyewe, mkaanzisha na slogan ya CCM ina wenyewe na wenyewe ndio sisi!! Hao wenyewe ndo hao sasa kina Nape.
 
Bwana Nape nikukumbushe tu hii nchi sio ya CCM wala ya Baba yako! Unataka kuuamisha uma ya kuwa nje ya kundi unaloliona wewe basi CCM haipo wala nchi haitawaliki! CCM itapita lakini Tanzania itabakia na kitu kikubwa kukumbuka ni kuwa Taifa ni zaidi ya ukoo au kikundi. Unauhuru wa kutoa mawazo lakini ujue kitakachokufanya wewe Nape uaminike sio ulizaliwa na nani bali ni utendaji wako wa kazi!

Dawa Imewaingia Sasa Kaa Tulia Kunywa Maji Chama Kina Wenyewe;
 
Wenyewe akina nani this boy is very hopeless I wish mama Samia would have sacked him out of CCM.

Hivi huyu angekuwa ni mtoto wa Nyerere au Karume si angeleta vita nchi hii?

Tufike mahala watu wa aina ta Nape wazee wanaxomewa kwani hawana uadilifu mahala popote pale ktk nchi hii.

Ndani ya ccm alifanya ufisadi mkubwa report ya Dr Bashir Ally iko wazi lakini bado anajiona ni Kiongozi muadilifu wa umma.

Mama nakushauri ondoa hawa watu sio wema Kwako..
Tulieni kiroboto kiteketezwe kwa maji ya Moto na Mafuta ya taa.
 
Bwana Nape nikukumbushe tu hii nchi sio ya CCM wala ya Baba yako! Unataka kuuamisha uma ya kuwa nje ya kundi unaloliona wewe basi CCM haipo wala nchi haitawaliki! CCM itapita lakini Tanzania itabakia na kitu kikubwa kukumbuka ni kuwa Taifa ni zaidi ya ukoo au kikundi. Unauhuru wa kutoa mawazo lakini ujue kitakachokufanya wewe Nape uaminike sio ulizaliwa na nani bali ni utendaji wako wa kazi!
Chama ndio kimerudi kwa wenyewe
Mwanzo kilikuwa kwa washamba
 
Wenyewe akina nani this boy is very hopeless I wish mama Samia would have sacked him out of CCM.

Hivi huyu angekuwa ni mtoto wa Nyerere au Karume si angeleta vita nchi hii?

Tufike mahala watu wa aina ta Nape wazee wanaxomewa kwani hawana uadilifu mahala popote pale ktk nchi hii.

Ndani ya ccm alifanya ufisadi mkubwa report ya Dr Bashir Ally iko wazi lakini bado anajiona ni Kiongozi muadilifu wa umma.

Mama nakushauri ondoa hawa watu sio wema Kwako..
Sukuma Gang zama zenu zimeisha,Chama kimerudi kwa wenyewe,
 
Bwana Nape nikukumbushe tu hii nchi sio ya CCM wala ya Baba yako! Unataka kuuamisha uma ya kuwa nje ya kundi unaloliona wewe basi CCM haipo wala nchi haitawaliki! CCM itapita lakini Tanzania itabakia na kitu kikubwa kukumbuka ni kuwa Taifa ni zaidi ya ukoo au kikundi. Unauhuru wa kutoa mawazo lakini ujue kitakachokufanya wewe Nape uaminike sio ulizaliwa na nani bali ni utendaji wako wa kazi!
Ana maana kimerudi kwa Kikwete and co. Waporaji akina Jiwe tupa kule ziwani!
 
Pamoja na mapungufu ya Polepole lakini Nape ameonyesha utoto na unafiki wa hali ya juu! Hatutaki unyanyapaa ndani ya CCM!CCM siyo mali ya mtu, kila Mwanachama ana haki sawa akiwemo Polepole! Kiongozi kuita mwenzako kiroboto ni USHAMBA SANA!
 
Wenyewe akina nani this boy is very hopeless I wish mama Samia would have sacked him out of CCM.

Hivi huyu angekuwa ni mtoto wa Nyerere au Karume si angeleta vita nchi hii?

Tufike mahala watu wa aina ta Nape wazee wanaxomewa kwani hawana uadilifu mahala popote pale ktk nchi hii.

Ndani ya ccm alifanya ufisadi mkubwa report ya Dr Bashir Ally iko wazi lakini bado anajiona ni Kiongozi muadilifu wa umma.

Mama nakushauri ondoa hawa watu sio wema Kwako..
Umeandika porojo
Wenyewe ndio sisi wananchi unataka nini
 
Dawa Imewaingia Sasa Kaa Tulia Kunywa Maji Chama Kina Wenyewe;
Hii Ndo tofauti KUBWA Kati ya CHADEMA NA CCM,

CHADEMA ni Chama na wakili wake ni Wanachama na Ndo màana wanakipigania kufa na kupona

CCM Wanachama ni daraja la kupandia walitumiayo wenye Chama chao,ambao ni kikundi tu,kilichojivalisha utukufu wa kupora haki za wenye Chama ambao ni Wanachama wenyewe,

Kuwa CCm kunaitaji kuwa umechukua akili na kuzifungia kabatini, Yani kundi flan linasema wao Ndo wamiliki wa Chama ,alafu wewe mwanachama wa kawaida upo umengangana na Ccm,hivi watz tulilogwa na nani? Na bado utawakuta hao wanaoambiwa Chama kina wamiliki wake bila kujiuliza,kuhoji, daily Ndo wakukata viuno kwenye majukwaa, wengine wanaume kukuna mpaka nazi, aisee ccm Hualibu vipaji sana
 
IQ ya huyu jamaa ni ndogo sana. Inapitwa kwa mbali na ile ya King Msukuma mwenye PhD ya darasa la saba. Watu wa Mtama wanapaswa kuamuka na kumfutilia mbali mtu huyu mwenye siasa za kihuni. Tunatumaini 2025 wana Mtama na wana CCM kwa ujumla watamtupa mhuni huyu kwenye dustbin akawe chakula cha viroboto!
 
Imepenya
Pamoja na mapungufu ya Polepole lakini Nape ameonyesha utoto na unafiki wa hali ya juu! Hatutaki unyanyapaa ndani ya CCM!CCM siyo mali ya mtu, kila Mwanachama ana haki sawa akiwemo Polepole! Kiongozi kuita mwenzako kiroboto ni USHAMBA SANA!
na mtakoma.
 
Back
Top Bottom