Nape kwa maneno yako chama kimerudi kwa wenyewe unamaanisha nini?

Nape kwa maneno yako chama kimerudi kwa wenyewe unamaanisha nini?

IQ ya huyu jamaa ni ndogo sana. Inapitwa kwa mbali na ile ya King Msukuma mwenye PhD ya darasa la saba. Watu wa Mtama wanapaswa kuamuka na kumfutilia mbali mtu huyu mwenye siasa za kihuni. Tunatumaini 2025 wana Mtama na wana CCM kwa ujumla watamtupa mhuni huyu kwenye dustbin akawe chakula cha viroboto!
Akili mfu hizi kama za mwendazake.
 
Back
Top Bottom