Bwana Nape nikukumbushe tu hii nchi sio ya CCM wala ya Baba yako! Unataka kuuamisha uma ya kuwa nje ya kundi unaloliona wewe basi CCM haipo wala nchi haitawaliki! CCM itapita lakini Tanzania itabakia na kitu kikubwa kukumbuka ni kuwa Taifa ni zaidi ya ukoo au kikundi. Unauhuru wa kutoa mawazo lakini ujue kitakachokufanya wewe Nape uaminike sio ulizaliwa na nani bali ni utendaji wako wa kazi!
Tulieni kiroboto kiteketezwe kwa maji ya Moto na Mafuta ya taa.Wenyewe akina nani this boy is very hopeless I wish mama Samia would have sacked him out of CCM.
Hivi huyu angekuwa ni mtoto wa Nyerere au Karume si angeleta vita nchi hii?
Tufike mahala watu wa aina ta Nape wazee wanaxomewa kwani hawana uadilifu mahala popote pale ktk nchi hii.
Ndani ya ccm alifanya ufisadi mkubwa report ya Dr Bashir Ally iko wazi lakini bado anajiona ni Kiongozi muadilifu wa umma.
Mama nakushauri ondoa hawa watu sio wema Kwako..
Daa mimi simakuelewa unamaanisha nini?Dawa Imewaingia Sasa Kaa Tulia Kunywa Maji Chama Kina Wenyewe;
Chama ndio kimerudi kwa wenyeweBwana Nape nikukumbushe tu hii nchi sio ya CCM wala ya Baba yako! Unataka kuuamisha uma ya kuwa nje ya kundi unaloliona wewe basi CCM haipo wala nchi haitawaliki! CCM itapita lakini Tanzania itabakia na kitu kikubwa kukumbuka ni kuwa Taifa ni zaidi ya ukoo au kikundi. Unauhuru wa kutoa mawazo lakini ujue kitakachokufanya wewe Nape uaminike sio ulizaliwa na nani bali ni utendaji wako wa kazi!
Sukuma Gang zama zenu zimeisha,Chama kimerudi kwa wenyewe,Wenyewe akina nani this boy is very hopeless I wish mama Samia would have sacked him out of CCM.
Hivi huyu angekuwa ni mtoto wa Nyerere au Karume si angeleta vita nchi hii?
Tufike mahala watu wa aina ta Nape wazee wanaxomewa kwani hawana uadilifu mahala popote pale ktk nchi hii.
Ndani ya ccm alifanya ufisadi mkubwa report ya Dr Bashir Ally iko wazi lakini bado anajiona ni Kiongozi muadilifu wa umma.
Mama nakushauri ondoa hawa watu sio wema Kwako..
Ana maana kimerudi kwa Kikwete and co. Waporaji akina Jiwe tupa kule ziwani!Bwana Nape nikukumbushe tu hii nchi sio ya CCM wala ya Baba yako! Unataka kuuamisha uma ya kuwa nje ya kundi unaloliona wewe basi CCM haipo wala nchi haitawaliki! CCM itapita lakini Tanzania itabakia na kitu kikubwa kukumbuka ni kuwa Taifa ni zaidi ya ukoo au kikundi. Unauhuru wa kutoa mawazo lakini ujue kitakachokufanya wewe Nape uaminike sio ulizaliwa na nani bali ni utendaji wako wa kazi!
Umeandika porojoWenyewe akina nani this boy is very hopeless I wish mama Samia would have sacked him out of CCM.
Hivi huyu angekuwa ni mtoto wa Nyerere au Karume si angeleta vita nchi hii?
Tufike mahala watu wa aina ta Nape wazee wanaxomewa kwani hawana uadilifu mahala popote pale ktk nchi hii.
Ndani ya ccm alifanya ufisadi mkubwa report ya Dr Bashir Ally iko wazi lakini bado anajiona ni Kiongozi muadilifu wa umma.
Mama nakushauri ondoa hawa watu sio wema Kwako..
Kaka pouwa wewe ndo porojoUmeandika porojo
Wenyewe ndio sisi wananchi unataka nini
Hii Ndo tofauti KUBWA Kati ya CHADEMA NA CCM,Dawa Imewaingia Sasa Kaa Tulia Kunywa Maji Chama Kina Wenyewe;
na mtakoma.Pamoja na mapungufu ya Polepole lakini Nape ameonyesha utoto na unafiki wa hali ya juu! Hatutaki unyanyapaa ndani ya CCM!CCM siyo mali ya mtu, kila Mwanachama ana haki sawa akiwemo Polepole! Kiongozi kuita mwenzako kiroboto ni USHAMBA SANA!