Elections 2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa


sawa mama unajitaidi kumwaga ushuzi. hizi ndio akili za wanaccm kwa kukalia majungu na siasa maji taka.
 


Tafakari upya hiyo sio issue tena.go back to the drawing board. Hiyo imechuja tayari sio siri wala sio habari
 
Uyo mwalim yupo chadema kabla hata ya lowasa kuhama sikubnying tu huo uongo
 

Yapo wazi hayo! Chadema cjui itabaki vipi baada ya oct
 
Mwandishi ameona mbali sana, Chadema asilia amkeni chama chenu kinapotea
 
Afadhali cdm imeuzwa kwa lowasa kwa ajili ya kuyaondoa mafisadi ikulu kuliko Tanzania ilvyouzwa kwa hao mafisadi wachache
 
jiulizen nyie mtakuaje baada ya lowasa kuapishwa...

😮 huyo atakae muapisha lowassa nani?!? Labda mbowe alie uza utu wa chama na kuvua nguo maswahiba wake kwa tamaa ya pesa kidunchu aliyo ongea mkapa bado nayazingatia! Yani mtu mmempaka miaka kwa miaka then within 3dei mnamkaribisha na kua mtawala wenu! Zoom iyo pic ujikumbushie kampeni za viongozi wenu kabla huyo kidudumtu kuingia hapo
 
Unatapikaaaa tuuu
amaa neeenee:banghead:

Hili kijigazeti hata halina sifa ya kufungiwa vitumbua. Hivi hata waandishi wake nao hujiita ni waandishi wa Habari! Eti mtu anaandika kwenye cv yake amefanyanyia kazi uhuru, putuu!
 
ni kweli ameiuza na ndio maana wagombea mbali mbali wamekatwa ambao wameshinda kura za maoni na kupewa aliokuja nao lowasa
 
Hana uchungu na maisha ya Watanzania yeye bora amesha chukua kilicho chake hana wasi wasi, aliyenunua ndio anakua na hati miliki kwa mantikihii ni lazima aliokuja nao boss wapewe nafasi. ZINDUKA WEWE MTANZANIA EPUKA KUFATA BIASHARA HII WEWE HAIKUHUSU
 
Muuzaji na Mnunuaji wote hawana busara na adabu iliyo njema, hawa itakii mema nchi yetu. pinga mafisadi kwasababu wata pambana kurudisha fedha zao nasio kuwa hudumia watanzania
 
mkuu ni kweli kabisa nape jana alikuwa kama punje ya mavi ya mbuzi ameshajuwa nini kinakwenda kuikumba ccm yeye mwenyewe ubunge atausikia tu na kuangalia kwenye tv!!

Ndo maana mm kilasiku napenda kusemakua ana mjichomikubwa ubongo wa mende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…