Elections 2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

Elections 2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

Ccm ni dume la ngombe limefanya kazi sana na sasa limezeeka kulima hakiwezi wala mkoteni hawezikuvuta tena,ni wakati wa kuliuza au kulichinja.
 
LOWASA KWELI AMEINUNUA CHADEMA


Yadaiwa makubaliano yake na Mbowe ni kuwa wale wote ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kumchafua wasishiriki kumnadi na hata kutokuongelea mchakato mzima wa urais


Yeye ndiye aliyemlazimisha Mbowe, Slaa akapumzike kijijini na pia Mbowe aweke masharti magumu ili yaimalize CUF bara ambapo Lipumba alivyoona hivo akaamua kunawa mikono yake kutojihusisha kabisa.


Inasemekana Salum Mwalim naibu katibu mkuu chadema Zanzibar ndiye anayekaimu ukatibu mkuu kwa sababu Lowasa ndiye aliyemuingiza hapo kwenye hiyo nafasi halafu ni mfanyakazi wa Channel 10 mpaka sasa ambapo Lowasa na Rostam wanajitahidi kukitumia ktka shughuli zao.


Mzee Lowasa ameandaa mkakati wa kuhakikisha Lissu, Msigwa, Lema na Mnyika hawarudi bungeni na ni masharti aliyopewa Mbowe akakubali.


Wakati ukishangaa CCM wanalalamikiwa kuminya demokrasia kwa ukawa waliibaka mbaya mno kwani Slaa hata fomu hakujaza ili ashindwe kwa kujadiliwa kuwa hana vigezo au wagombea wa Chadema, CUF, NCCR na NLD wapigiwe kura ili apatikabe mwakilishi badala yake Mbowe akawaruhusu wakutane na wateue jina moja.


Awali wakati wanakutana Dkt. Slaa, Prof. Lipumba, Emanuel Makaidi, na James Mbatia katika vikao vyao walikubaliana Slaa ndiye mgombea wa Ukawa badae mambo yakawa tofauti kabisa.


Mbowe na Maalim Seif nyuma ya pazia washamalizana na Mzee Lowasa kuwa ndiye atakuwa mgombea. Baadae Mbowe akawaambia wenzie wasimtangaze kwanza mgombea wao!


Siasa ni utumishi CCM. Ukawa siasa ni ujasiriamali. Zaidi ya bilioni 10 zadaiwa kuwa chanzo cha hayo yote.


WATANZANIA TUWE MAKINI KUTAFAKARI HAYA, TUSIKUBALI KIRAHISI RAHISI HIVO.
 
lowasa kweli ameinunua chadema


yadaiwa makubaliano yake na mbowe ni kuwa wale wote ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kumchafua wasishiriki kumnadi na hata kutokuongelea mchakato mzima wa urais


yeye ndiye aliyemlazimisha mbowe, slaa akapumzike kijijini na pia mbowe aweke masharti magumu ili yaimalize cuf bara ambapo lipumba alivyoona hivo akaamua kunawa mikono yake kutojihusisha kabisa.


Inasemekana salum mwalim naibu katibu mkuu chadema zanzibar ndiye anayekaimu ukatibu mkuu kwa sababu lowasa ndiye aliyemuingiza hapo kwenye hiyo nafasi halafu ni mfanyakazi wa channel 10 mpaka sasa ambapo lowasa na rostam wanajitahidi kukitumia ktka shughuli zao.


Mzee lowasa ameandaa mkakati wa kuhakikisha lissu, msigwa, lema na mnyika hawarudi bungeni na ni masharti aliyopewa mbowe akakubali.


Wakati ukishangaa ccm wanalalamikiwa kuminya demokrasia kwa ukawa waliibaka mbaya mno kwani slaa hata fomu hakujaza ili ashindwe kwa kujadiliwa kuwa hana vigezo au wagombea wa chadema, cuf, nccr na nld wapigiwe kura ili apatikabe mwakilishi badala yake mbowe akawaruhusu wakutane na wateue jina moja.


Awali wakati wanakutana dkt. Slaa, prof. Lipumba, emanuel makaidi, na james mbatia katika vikao vyao walikubaliana slaa ndiye mgombea wa ukawa badae mambo yakawa tofauti kabisa.


Mbowe na maalim seif nyuma ya pazia washamalizana na mzee lowasa kuwa ndiye atakuwa mgombea. Baadae mbowe akawaambia wenzie wasimtangaze kwanza mgombea wao!


Siasa ni utumishi ccm. Ukawa siasa ni ujasiriamali. Zaidi ya bilioni 10 zadaiwa kuwa chanzo cha hayo yote.


Watanzania tuwe makini kutafakari haya, tusikubali kirahisi rahisi hivo.

hongera aise kwa kuandika ulofa na upumbavu wako
 
Maeleozo ni mengi, lakin hata ushahidi kidogo hamna?!
 
LOWASA KWELI AMEINUNUA CHADEMA


Yadaiwa makubaliano yake na Mbowe ni kuwa wale wote ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kumchafua wasishiriki kumnadi na hata kutokuongelea mchakato mzima wa urais


Yeye ndiye aliyemlazimisha Mbowe, Slaa akapumzike kijijini na pia Mbowe aweke masharti magumu ili yaimalize CUF bara ambapo Lipumba alivyoona hivo akaamua kunawa mikono yake kutojihusisha kabisa.


Inasemekana Salum Mwalim naibu katibu mkuu chadema Zanzibar ndiye anayekaimu ukatibu mkuu kwa sababu Lowasa ndiye aliyemuingiza hapo kwenye hiyo nafasi halafu ni mfanyakazi wa Channel 10 mpaka sasa ambapo Lowasa na Rostam wanajitahidi kukitumia ktka shughuli zao.


Mzee Lowasa ameandaa mkakati wa kuhakikisha Lissu, Msigwa, Lema na Mnyika hawarudi bungeni na ni masharti aliyopewa Mbowe akakubali.


Wakati ukishangaa CCM wanalalamikiwa kuminya demokrasia kwa ukawa waliibaka mbaya mno kwani Slaa hata fomu hakujaza ili ashindwe kwa kujadiliwa kuwa hana vigezo au wagombea wa Chadema, CUF, NCCR na NLD wapigiwe kura ili apatikabe mwakilishi badala yake Mbowe akawaruhusu wakutane na wateue jina moja.


Awali wakati wanakutana Dkt. Slaa, Prof. Lipumba, Emanuel Makaidi, na James Mbatia katika vikao vyao walikubaliana Slaa ndiye mgombea wa Ukawa badae mambo yakawa tofauti kabisa.


Mbowe na Maalim Seif nyuma ya pazia washamalizana na Mzee Lowasa kuwa ndiye atakuwa mgombea. Baadae Mbowe akawaambia wenzie wasimtangaze kwanza mgombea wao!


Siasa ni utumishi CCM. Ukawa siasa ni ujasiriamali. Zaidi ya bilioni 10 zadaiwa kuwa chanzo cha hayo yote.


WATANZANIA TUWE MAKINI KUTAFAKARI HAYA, TUSIKUBALI KIRAHISI RAHISI HIVO.

Pole kwa tumbo lilokubeba miezi tisa. Sina zaidi.
 
Endeleeni kuhangaika na kufichua siri zenu,siye twasonga mbele siku mtakapokuja kujitambua wenzenu tuko magogoni.
 
LOWASA KWELI AMEINUNUA CHADEMA


Yadaiwa makubaliano yake na Mbowe ni kuwa wale wote ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kumchafua wasishiriki kumnadi na hata kutokuongelea mchakato mzima wa urais


Yeye ndiye aliyemlazimisha Mbowe, Slaa akapumzike kijijini na pia Mbowe aweke masharti magumu ili yaimalize CUF bara ambapo Lipumba alivyoona hivo akaamua kunawa mikono yake kutojihusisha kabisa.


Inasemekana Salum Mwalim naibu katibu mkuu chadema Zanzibar ndiye anayekaimu ukatibu mkuu kwa sababu Lowasa ndiye aliyemuingiza hapo kwenye hiyo nafasi halafu ni mfanyakazi wa Channel 10 mpaka sasa ambapo Lowasa na Rostam wanajitahidi kukitumia ktka shughuli zao.


Mzee Lowasa ameandaa mkakati wa kuhakikisha Lissu, Msigwa, Lema na Mnyika hawarudi bungeni na ni masharti aliyopewa Mbowe akakubali.


Wakati ukishangaa CCM wanalalamikiwa kuminya demokrasia kwa ukawa waliibaka mbaya mno kwani Slaa hata fomu hakujaza ili ashindwe kwa kujadiliwa kuwa hana vigezo au wagombea wa Chadema, CUF, NCCR na NLD wapigiwe kura ili apatikabe mwakilishi badala yake Mbowe akawaruhusu wakutane na wateue jina moja.


Awali wakati wanakutana Dkt. Slaa, Prof. Lipumba, Emanuel Makaidi, na James Mbatia katika vikao vyao walikubaliana Slaa ndiye mgombea wa Ukawa badae mambo yakawa tofauti kabisa.


Mbowe na Maalim Seif nyuma ya pazia washamalizana na Mzee Lowasa kuwa ndiye atakuwa mgombea. Baadae Mbowe akawaambia wenzie wasimtangaze kwanza mgombea wao!


Siasa ni utumishi CCM. Ukawa siasa ni ujasiriamali. Zaidi ya bilioni 10 zadaiwa kuwa chanzo cha hayo yote.


WATANZANIA TUWE MAKINI KUTAFAKARI HAYA, TUSIKUBALI KIRAHISI RAHISI HIVO.
Huu ndiyo ulofa malofa wenzio na wapumbavu wamekutuma utunyee hapa? Tupa kule wewe. Nenda kanye ili tumbo liache kukuuma uwahi uwanjani kesho ukashuhudie nyomi!!! Ingekuwa ridhaa ya polisi leo tungelala pale. Fia mbali gamba wakutumwa. Hata mseme nini sasa watanzania pamba masikioni. Watawatuma sana Lumumba wa buku sana mja kujaza kinyesi humu.
 
LOWASA KWELI AMEINUNUA CHADEMA


Yadaiwa makubaliano yake na Mbowe ni kuwa wale wote ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kumchafua wasishiriki kumnadi na hata kutokuongelea mchakato mzima wa urais


Yeye ndiye aliyemlazimisha Mbowe, Slaa akapumzike kijijini na pia Mbowe aweke masharti magumu ili yaimalize CUF bara ambapo Lipumba alivyoona hivo akaamua kunawa mikono yake kutojihusisha kabisa.


Inasemekana Salum Mwalim naibu katibu mkuu chadema Zanzibar ndiye anayekaimu ukatibu mkuu kwa sababu Lowasa ndiye aliyemuingiza hapo kwenye hiyo nafasi halafu ni mfanyakazi wa Channel 10 mpaka sasa ambapo Lowasa na Rostam wanajitahidi kukitumia ktka shughuli zao.


Mzee Lowasa ameandaa mkakati wa kuhakikisha Lissu, Msigwa, Lema na Mnyika hawarudi bungeni na ni masharti aliyopewa Mbowe akakubali.


Wakati ukishangaa CCM wanalalamikiwa kuminya demokrasia kwa ukawa waliibaka mbaya mno kwani Slaa hata fomu hakujaza ili ashindwe kwa kujadiliwa kuwa hana vigezo au wagombea wa Chadema, CUF, NCCR na NLD wapigiwe kura ili apatikabe mwakilishi badala yake Mbowe akawaruhusu wakutane na wateue jina moja.


Awali wakati wanakutana Dkt. Slaa, Prof. Lipumba, Emanuel Makaidi, na James Mbatia katika vikao vyao walikubaliana Slaa ndiye mgombea wa Ukawa badae mambo yakawa tofauti kabisa.


Mbowe na Maalim Seif nyuma ya pazia washamalizana na Mzee Lowasa kuwa ndiye atakuwa mgombea. Baadae Mbowe akawaambia wenzie wasimtangaze kwanza mgombea wao!


Siasa ni utumishi CCM. Ukawa siasa ni ujasiriamali. Zaidi ya bilioni 10 zadaiwa kuwa chanzo cha hayo yote.


WATANZANIA TUWE MAKINI KUTAFAKARI HAYA, TUSIKUBALI KIRAHISI RAHISI HIVO.
Umbeya wa kike!
 
Hata mtoto hawezi kuamini.

Huyu Lowassa naona anawapa presha sana maccm
 
Back
Top Bottom