Elections 2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

Elections 2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

mkuu hakuna kabila bongo linalojua businesss ka wachaga saiv wanafanya political business
Huo uchaga unao uongelea upeleke kwa mama yako, sisi kabila letu ni TANZANIA na tuchotaka ni mabadiliko either positive or negative. we don't need CCM any more.
 
Hahaha Nape who are you????chadema inakuhusu nin????wewe subiri bao lako la mkono na wivini tukusukie
 
Alichonifyrahisha Nape añasema Freeman in Mjanja "" amerudia MANENO hayo Mara mbili ;;;;;;;;;!!
Jeee
Alitaka Mbowe awe mjinga !!!!!
 
Nape anahiitaji kuvishwa rinda,nape yupo ccm CHADEMA inamuhusu nn?MFA maji huyu.
 
sijawahi kuona kilaka kama nape CCM. kinachomuuma nn CHADEMA kuuzwa kama si usenge tu.
 
Back
Top Bottom