Nape: Mimi ni member wa Jamii Forums

Nape: Mimi ni member wa Jamii Forums

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube

Screenshot_20221119-075454.jpg
 
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube
Nape ametujeuka...hela zetu nyingi sasa zinaishia kwenye bundle badala ya unga na ndio maana njaa inazidi kulalamikiwa + ugumu wa maisha...walianza kwa bando za bei rahisi baada ya kuona tumekuwa addicted sasa wametupandishia nawanajua tutanunua, badala ya kuogopa kumsema hapa tumwambie ukweli...jina lake halipo kwenye wakombozi wa walala hoi 😭
 
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube
Aendelee kuwa nasi ila aje na hekima na busara ambayo mara zote amekuwa hana, amejaa dharau jeuri na kibri na kutetea makampuni.
Japo tunampenda vilevile ni mwanetu sana zipo nyakati hufanya kusudi na nyakati za bila kusudi.

Yote maisha sana tu
 
Nape bhna mwanzo alivyo fukuzwa na jpm nilimuone huruma Sana [emoji38] bas bhna mungu si kaamua ugomvi jpm akaondoka wengi tukajuwa lzm arudi wizarani.jamaa alivyo rud alikuta gb 1 Ni buku hatujaa kaa sawa gb moja ikawa buku 3 hatujakaa sawa amekuwa msemaji wa makampuni hayo hayo ya simu yanayotunjonya vilivyo

Kwa kifupi sna mh waziri umeniudh Sanaa na mbya Zaid umesahau uliko toka
 
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums.

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube
ID anazo mbili, Moja ya mpwayungu village na nyingine ni ya rikiboy . Hizo ndizo ID zake, nilishawahi ona siku 1 anazitumia.
 
Kama anaona mawazo ya watu juu yake ni jambo jema nipende kusema nape ni mchumia tumbo anatetea sana makampuni kama vile ndo yalimpa kura anasahau wananchi wa kijiji chake wanateseka kuanzia kwenye bundle mpka utekelezaji wa miradi.
 
Back
Top Bottom