Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Atakuwa yule mpwayuwayu villageHajataja ID yake utamchallenge vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa yule mpwayuwayu villageHajataja ID yake utamchallenge vipi?
Ni muoga na mbinafsi kwani toka ashikiwe chuma 2017 alionekana mara chache sana akichangia mijadala humu, na ilipofika 2018 hakuwahi kuchangia na ile ID yake rasmi.Atakuwa yule mpwayuwayu village
Nape Nape Nape, kweli kama unaisoma hii comment yangu basi tambua yafuatayo.Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa jamii forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Amekuambia kuwa na Yeye kwa hiyo ID yake ya Kificho huwa hatukani Watu / Hatutukani hapa Critics wake?Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa jamii forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Nape bhna mwanzo alivyo fukuzwa na jpm nilimuone huruma Sana [emoji38] bas bhna mungu si kaamua ugomvi jpm akaondoka wengi tukajuwa lzm arudi wizarani.jamaa alivyo rud alikuta gb 1 Ni buku hatujaa kaa sawa gb moja ikawa buku 3 hatujakaa sawa amekuwa msemaji wa makampuni hayo hayo ya simu yanayotunjonya vilivyo
Kwa kifupi sna mh waziri umeniudh Sanaa na mbya Zaid umesahau uliko toka
Mwenye ngozi ngumu ni hapa JF ni Pascal Mayalla wengine ngozi ya u-bwbw
Chuki ilizaliwa pale JPM alipoanza kula chakula cha Nape. Nape kwa kuona hivyo akataka kupanga shambulizi badala yake akajikuta ameshambuliwa kwa ghafla bila yeye kujua.Nape Nape Nape, kweli kama unaisoma hii comment yangu basi tambua yafuatayo.
1: Watanzania walikusamehe na kurejesha Imani juu yako na kufuta mabaya yako yote ulipomuomba msamaha Dkt Magufuli, na walikuonea huruma baada ya kufiwa na Dkt Magufuli. Ila ulivuruga pale tu ulipoonesha kushangilia kifo cha Dkt Magufuli, wewe unaweza usitambue kabisa chuki kuu iliyo juu yako ila hilo lifahamu doa ulilojiwekea kwa watanzania wengi ni baya mno. Je nafasi unayo? Jibu ni ndiyo? Wewe umri wako bado, unaweza kuomba tena msamaha na kurekebisha yote. Ngoja niwahi jumuia
Nape Nnauye huyu hapaKama kweli ana ngozi ngumu, atutajie ID yake humu! Maana wenzake akina Zitto, na Mwigulu pumzi zimekata! Wengine akina Juliana Shonza, hata hawajulikani waliko!
Au ndiyo huyu nanihii huyu mwenye hii ID hapa........!!!
Rais wa KigodoroNape rais 2025
Atakuwa ana ID nyingine fake bila shaka! Imagine kwa mara ya mwisho alionekana humu jukwaani June 6, 2020!!Nape Nnauye huyu hapa
This is true, Nape ni mwenzetu humu, tupo naye kwa ID yake ya nape mnauye, ila pia yupo yupo!.Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
View attachment 2420687
Naomba kuthibitisha ni kweli ana ngozi ngumu!.Mwenye ngozi ngumu ni hapa JF ni Pascal Mayalla wengine ngozi ya u-bwbw