Nape: Mimi ni member wa Jamii Forums

Nape: Mimi ni member wa Jamii Forums

Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa jamii forums.

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube
Nape Nape Nape, kweli kama unaisoma hii comment yangu basi tambua yafuatayo.
1: Watanzania walikusamehe na kurejesha Imani juu yako na kufuta mabaya yako yote ulipomuomba msamaha Dkt Magufuli, na walikuonea huruma baada ya kufiwa na Dkt Magufuli. Ila ulivuruga pale tu ulipoonesha kushangilia kifo cha Dkt Magufuli, wewe unaweza usitambue kabisa chuki kuu iliyo juu yako ila hilo lifahamu doa ulilojiwekea kwa watanzania wengi ni baya mno. Je nafasi unayo? Jibu ni ndiyo? Wewe umri wako bado, unaweza kuomba tena msamaha na kurekebisha yote. Ngoja niwahi jumuia
 
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa jamii forums.

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube
Amekuambia kuwa na Yeye kwa hiyo ID yake ya Kificho huwa hatukani Watu / Hatutukani hapa Critics wake?

Niulizie Ratiba yake ya Leo ( kama yuko Kwake pale Kawe Beach ) katika Nyumba yake iliyo Mita chache tu na Bahari na pia akiwa Jirani na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la EFATHA Mwenge Mzee Mwingira ili 'nikambandulie" Dada wa Kazi ( House Maid ) wake mzuri kuliko hata Wake za Watu walio Jirani nae pale.
 
Nape bhna mwanzo alivyo fukuzwa na jpm nilimuone huruma Sana [emoji38] bas bhna mungu si kaamua ugomvi jpm akaondoka wengi tukajuwa lzm arudi wizarani.jamaa alivyo rud alikuta gb 1 Ni buku hatujaa kaa sawa gb moja ikawa buku 3 hatujakaa sawa amekuwa msemaji wa makampuni hayo hayo ya simu yanayotunjonya vilivyo

Kwa kifupi sna mh waziri umeniudh Sanaa na mbya Zaid umesahau uliko toka

ukimwambia mtu jpm hajawahi kuwa fala,hawezi kukuelewa haraka haraka mpaka muda upite kwanza.
 
Nape Nape Nape, kweli kama unaisoma hii comment yangu basi tambua yafuatayo.
1: Watanzania walikusamehe na kurejesha Imani juu yako na kufuta mabaya yako yote ulipomuomba msamaha Dkt Magufuli, na walikuonea huruma baada ya kufiwa na Dkt Magufuli. Ila ulivuruga pale tu ulipoonesha kushangilia kifo cha Dkt Magufuli, wewe unaweza usitambue kabisa chuki kuu iliyo juu yako ila hilo lifahamu doa ulilojiwekea kwa watanzania wengi ni baya mno. Je nafasi unayo? Jibu ni ndiyo? Wewe umri wako bado, unaweza kuomba tena msamaha na kurekebisha yote. Ngoja niwahi jumuia
Chuki ilizaliwa pale JPM alipoanza kula chakula cha Nape. Nape kwa kuona hivyo akataka kupanga shambulizi badala yake akajikuta ameshambuliwa kwa ghafla bila yeye kujua.

Hivyo kilichotokea ni kuzidiana maarifa tu.

Kama ni msamaha walipaswa kuwaomba wa TZ kwani ndio walikuwa wapishi wa chakula kilichokuwa kinagombaniwa.
 
Awe member, asiwe member. Hafai hata kuwa Diwani. Hajui hata Ratio ya thamani ya Pesa kwa MB na Speed ya internet.
 
Ma legend tunaijua ID yake tulishamdukua kitambo tu na kilichinishangaza ni ule mchango wake kule kwenye uzi wa kula tunda kimasikhara ana stori zake mbili moja aliuza mechi[emoji41]
 
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube

View attachment 2420687
This is true, Nape ni mwenzetu humu, tupo naye kwa ID yake ya nape mnauye, ila pia yupo yupo!.
Mwenye ngozi ngumu ni hapa JF ni Pascal Mayalla wengine ngozi ya u-bwbw
Naomba kuthibitisha ni kweli ana ngozi ngumu!.
P
 
Back
Top Bottom