Nape Moses Nnauye afunga ndoa


uko sahihi

Tumaini ni mzuri ila si ki hivyo, she is just loose, sory to say that

i was there wanachumbiana, wanafunga ndoa, wanaenda mtwara: Tumaini analala na mwarabu, anakiri mbele yetu

Nape semeni ubaya wowote, the guy mvumilivu sana tena sana


Ni kweli Nape alikaa kwa mkwe wake kwa muda kama miezi 8, akaenda nje kusoma akarudi na kuendelea na maisha yake

akaenda mtwara, na ndiko ndo ailikovunjikia

mnaandaika kana kwamba Nape ni mkorofi au player: Jamani mnachuma dhambi

kama unabisha jibadilishe uwe mwanaume kamtongoze Tumaini pale saloon kwao changanyikeni, uone kama atakataa
 
Anthony Mtaka,Dc wa Mvomero hajaoa mpaka leo.

Hii kwa kweli si nzuri sana kwa mtu anaeongoza kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya.

Umeona mkuu??

Naomba niweke wazi kuwa Tz tuna hasara ya mwaka!! Kuwa na Rahisi asiyejali umuhimu wa nafasi nyeti katika utumishi wa umma!! Hii ndo inawapa jeuri hawa ma-DC mpaka wanatukana wenzao kuwa wana degree za pichu (isome kutokea kulia)!! Hapa ndo tunapofika na kuwasikia hata mazombie wanataka urais, maana kipimo chao kimekuwa kwa mkwe.re!! Kama yeye ameweza kwa nini sisi tusiweze?
 
kumbe nape pamoja na makelele yote ni mmbovu wa mafuta,hata hivyo hongera sana
 
Huyo mpambaji wa bi harusi lo!! Ni wa zamani kweliiiiii.
 
management ya mke ni kama serikali vile, najua atakomaa zaidi katika fikra, maamuzi na mtazamo. luv me luv u zinadanganya sana, experience the real world. Hongera!
 
OR maybe aliona 'time' inakwisha akaamua kulamba karata iliyobaki.....

At the end of the day kazi anayo. Fancy sleeping with a spouse you do not feel. How the hell are you even supposed to respond to their touch?! damn!!
 
OUT OF TOPIC:
Ni wakati muafaka sasa kwa huyo nae sijui Dr. Silaa kukipasha kiporo moto aache kuzini zini hovyo na mke wa mtu..mmemkazania huyu Nape yeye keshamaliza yake na dr nae afanye haraka pamoja na huyo mwenyekiti wenu wa CDM, waache kufinua finua pichu za wadada wa chama cha domokrasia na mauvundo...maana nyani huwa haoni..........haahaaha
 

Slaa siku akioa na mimi naolewaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…