Nape Moses Nnauye afunga ndoa

kwakweli ngoja niendelee kutafuta pesa zaidi kuoa kutakuja kwenyewe baadae ...kama ambavyo ndoa imekwnda yenyew kwa nape....
 
Huyo ni binti wa Kikurya,babake ni marehemu mzee Mkami wa pale Tarime juu bomani.

Mambo yaligubikwa na usiri mkubwa sana,I think Nape alikwishaoa kabla

Kweli JF kiboko. Huyu dada namfahamu kitambo hapa mjini. Ila juzi kati nikakutana naye anasukuma kilimo kwanza VX somewhere...ilikuwa jioni sana barabara ina maji kinda of.......akanipiga full! duh ikabidi niwe mpole (ningeweza mpiga full pia Lakini nikaona siyo vizuri). .......nikabaki najiuliza huyu dada hii jeuri kaitoa wapi ghalfa...now I know kumbe lilikuwa kilimo kwanza la Ubunge wa mme wake!

Wallah JF RAHA SANA...
 
Tumaini Hemedi amefariki dunia Jana.Mungu amlaze mahali pema peponi Amina.She was so beautiful indeed

Likud the world is so small. Tumaini alikuwa ni mshakaji wangu wa siku nyingi (last time we had a drink together pale Mikocheni Regency). Lakini sikuwa kujua kwamba alizaa/alikuwa mke wa Nape! Though nilijua alikuwa na watoto wawili kama sikosei. Na hakuwahi kuniambia kwamba Nape alikuwa mzazi mwenzie.

Halafu unasema amefariki? This is tragic jamani! She was a beautiful soul. What happened??

May Allah Rest her Soul in Peace...Kweli duniani tunapita aisee.

Poleni kwa wafiwa wote jamani!
 
Aliugua ghafla .Wanazika Leo Goba.Msiba upo sehemu mbili kwa mumewe na nyumbani kwao Mbuyuni.

Alikuwa ameolewa tena? Anyway mambo mengine ni kuyaacha yapite. Niko Mkoani....I wish ningekuwa karibu nikamzike Tumaini. Apumzike kwa amani. Tumaini you will be missed. DADA MCHECHI SANA!
 

View attachment 527067

Katika pozi, baada ya kuaga rasmi ukapela na kuingia ktk majukumu.

Hongera sana na karibu katika chama chetu cha wenye ndoa. Waswahili wanasema "ndoa ndoano".


R.I.P




Naomba kuuliza huyo Tumaini ni huyu au ni mwingine? kuna siku nilimwona Nape Mlimani city Mall (game) alikuwa na mkewe she is so beautiful na shape ya haja (African beauty kweli kweli) sijui ndio huyo Tumaini au ndio current wife
 
Vipi wa saizi anajali eee! Haaaaa watanzania kwa kulaumu hatujambo
 
Vipi wa saizi anajali eee! Haaaaa watanzania kwa kulaumu hatujambo
Ndio haya tunayoyaona mkuu, huyu ni mmoja kati ya mazombie niliyoyasema kipindi hicho nayo yalikuwa yanautaka urahisi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…