Acha tu ndugu yangu.Dada mkubwa yule hatunae tena. Maisha kitu cha ajabu sanaLikud the world is so small. Tumaini alikuwa ni mshakaji wangu wa siku nyingi (last time we had a drink together pale Mikocheni Regency). Lakini sikuwa kujua kwamba alizaa/alikuwa mke wa Nape! Though nilijua alikuwa na watoto wawili kama sikosei. Na hakuwahi kuniambia kwamba Nape alikuwa mzazi mwenzie.
Halafu unasema amefariki? This is tragic jamani! She was a beautiful soul. What happened??
May Allah Rest her Soul in Peace...Kweli duniani tunapita aisee.
Poleni kwa wafiwa wote jamani!
Ndo kwanza naiona hii!!Likud the world is so small. Tumaini alikuwa ni mshakaji wangu wa siku nyingi (last time we had a drink together pale Mikocheni Regency). Lakini sikuwa kujua kwamba alizaa/alikuwa mke wa Nape! Though nilijua alikuwa na watoto wawili kama sikosei. Na hakuwahi kuniambia kwamba Nape alikuwa mzazi mwenzie.
Halafu unasema amefariki? This is tragic jamani! She was a beautiful soul. What happened??
May Allah Rest her Soul in Peace...Kweli duniani tunapita aisee.
Poleni kwa wafiwa wote jamani!
Nawe ulikuwa unamjua Tumaini? Damn….dunia ndogo sana hii aisee!Tumaini Hemedi amefariki dunia Jana.Mungu amlaze mahali pema peponi Amina.She was so beautiful indeed
Alikuwa kamuoa mtoto wa Brigedia Hemed wa Changanyiken mwenye Kijiji cha kupangisha hasa wanachuo wa udsm.Huyo ni binti wa Kikurya,babake ni marehemu mzee Mkami wa pale Tarime juu bomani.
Mambo yaligubikwa na usiri mkubwa sana,I think Nape alikwishaoa kabla
Yule bint naye akigawa sana hasa wanachuo wa udsmhuyo jamaa alishaoa, tena wakati akiwa hana kitu alihifadhiwa na baba mkwe wake Changanyikeni baada ya mambo kuanza kuwa mazuri akamtelekeza mke wake, nae akaamua kwenda nje ya nchi kujisahaulisha na kadhia za huyo jamaa.
RiP Tumaini Hemedi....nilihudhuria mazishi yake..Nawe ulikuwa unamjua Tumaini? Damn….dunia ndogo sana hii aisee!
She was my crush way back when!
She was a real looker…
UkuumulizA??R.I.P
Naomba kuuliza huyo Tumaini ni huyu au ni mwingine? kuna siku nilimwona Nape Mlimani city Mall (game) alikuwa na mkewe she is so beautiful na shape ya haja (African beauty kweli kweli) sijui ndio huyo Tumaini au ndio current wife
Hanamuumee ulitakaa ajumlisheYule bint naye akigawa sana hasa wanachuo wa udsm
Huyu bint kafa lini? Nikimuona wakati tukenda kuwaona jamaa zetu waliokuwa wamepanga kwao.Yeye ndo akimanage vyumba vya kupanga vya babake.RIPRiP Tumaini Hemedi....nilihudhuria mazishi yake..
Really she was pretty.Nawe ulikuwa unamjua Tumaini? Damn….dunia ndogo sana hii aisee!
She was my crush way back when!
She was a real looker…
Muda mrefu sana karibia miaka 7 Sasa.....amezikwa kule kule changanyikeni...Huyu bint kafa lini? Nikimuona wakati tukenda kuwaona jamaa zetu waliokuwa wamepanga kwao.Yeye ndo akimanage vyumba vya kupanga vya babake.RIP
Bhalaa SanaKumbe sikuzote alikuwa anazini smh.
Aisee ,RIPMuda mrefu sana karibia miaka 7 Sasa.....amezikwa kule kule changanyikeni...
Kwani hao Viongozi wa Serikali ambao wameoa, mathalani Marais wa nchi hii wameweza kulisaidia nini Taifa hili la Tanzania kutokana na kuoa kwao? Sana sana nchi imepata hasara na inaendelea kupata hasara.zaidi kutokana na vitendo vya hao Viongozi wa Serikali kuoa Wanawake, kwa sababu sasa wanawake hao walioolewa na Viongozi wa Serikali wameanza kudai walipwe Pensheni na Serikali kutokana na kitendo cha wao kuolewa na Viongozi wa nchi.Inawezekanaje mtu bachelor kupewa majukumu kwa ngazi za juu kama alipokuwa? Basi kuna siku na raisi atakuwa hana mwenza sasa. Aibu
Hivi we jamaa umepotelea wap?Babu Slaa mpaka leo anazini, hajawahi kufunga ndoa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mfuasi kindakindaki wa Babu luwasa