Nape Moses Nnauye afunga ndoa

Acha tu ndugu yangu.Dada mkubwa yule hatunae tena. Maisha kitu cha ajabu sana
 
Ndo kwanza naiona hii!!

Sikujua kama Tumaini alifariki.

Kumbe nawe ulikuwa unamjua?

She was my classmate and [crush]!

Damn!

Companero ulikuwa unajua kuhusu hili?
 
Tumaini Hemedi amefariki dunia Jana.Mungu amlaze mahali pema peponi Amina.She was so beautiful indeed
Nawe ulikuwa unamjua Tumaini? Damn….dunia ndogo sana hii aisee!

She was my crush way back when!

She was a real looker…
 
Huyo ni binti wa Kikurya,babake ni marehemu mzee Mkami wa pale Tarime juu bomani.

Mambo yaligubikwa na usiri mkubwa sana,I think Nape alikwishaoa kabla
Alikuwa kamuoa mtoto wa Brigedia Hemed wa Changanyiken mwenye Kijiji cha kupangisha hasa wanachuo wa udsm.
 
huyo jamaa alishaoa, tena wakati akiwa hana kitu alihifadhiwa na baba mkwe wake Changanyikeni baada ya mambo kuanza kuwa mazuri akamtelekeza mke wake, nae akaamua kwenda nje ya nchi kujisahaulisha na kadhia za huyo jamaa.
Yule bint naye akigawa sana hasa wanachuo wa udsm
 
R.I.P




Naomba kuuliza huyo Tumaini ni huyu au ni mwingine? kuna siku nilimwona Nape Mlimani city Mall (game) alikuwa na mkewe she is so beautiful na shape ya haja (African beauty kweli kweli) sijui ndio huyo Tumaini au ndio current wife
UkuumulizA??
 
Huyu bint kafa lini? Nikimuona wakati tukenda kuwaona jamaa zetu waliokuwa wamepanga kwao.Yeye ndo akimanage vyumba vya kupanga vya babake.RIP
Muda mrefu sana karibia miaka 7 Sasa.....amezikwa kule kule changanyikeni...
 
Japo mambo ya kuigaiga siyo mazuri, lakini mengine ni wazi. Inawezekanaje mtu bachelor kupewa majukumu kwa ngazi za juu kama alipokuwa? Basi kuna siku na raisi atakuwa hana mwenza sasa. Aibu
 
Inawezekanaje mtu bachelor kupewa majukumu kwa ngazi za juu kama alipokuwa? Basi kuna siku na raisi atakuwa hana mwenza sasa. Aibu
Kwani hao Viongozi wa Serikali ambao wameoa, mathalani Marais wa nchi hii wameweza kulisaidia nini Taifa hili la Tanzania kutokana na kuoa kwao? Sana sana nchi imepata hasara na inaendelea kupata hasara.zaidi kutokana na vitendo vya hao Viongozi wa Serikali kuoa Wanawake, kwa sababu sasa wanawake hao walioolewa na Viongozi wa Serikali wameanza kudai walipwe Pensheni na Serikali kutokana na kitendo cha wao kuolewa na Viongozi wa nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…