Nape Moses Nnauye afunga ndoa

Anthony Mtaka,Dc wa Mvomero hajaoa mpaka leo.

Hii kwa kweli si nzuri sana kwa mtu anaeongoza kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya.

nimemfumania mtaka akitoa mahali maeneo ya 8 8 hapa moro mpe muda ndoa yake hipo njiani mkuu
 
Anthony Mtaka,Dc wa Mvomero hajaoa mpaka leo.

Hii kwa kweli si nzuri sana kwa mtu anaeongoza kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya.

Kaka umeona mbali sana lakini je, washauri wa JK wanalizingatia hili au ndio kukimbilia kuyafungia magazeti wakati hawajaziba mwanya?
 

jamani,mwacheni nape ajilie vyake
 
Alifunga ndoa na Tumaini Hemed mwaka 2006,waliachana Nape ana michepuko mingi.Rhobi mfupa uliomshinda Tumaini utauweza?

mbona hii post inasema tofauti?


https://www.jamiiforums.com/habari-...arusi-ya-nape-week-ijayo-dar-es-salaam-3.html
 
huyo jamaa alishaoa, tena wakati akiwa hana kitu alihifadhiwa na baba mkwe wake Changanyikeni baada ya mambo kuanza kuwa mazuri akamtelekeza mke wake, nae akaamua kwenda nje ya nchi kujisahaulisha na kadhia za huyo jamaa.

ni kweli kabisa...tena kazaa nae
 

ktk pozi,baada ya kuaga rasmi ukapela na kuingia ktk majukumu.Hongera sana na karibu ktk chama chetu cha wenye ndoa
waswahili wanasema "ndoa ndoano"

Nape kamanda mnyika ulimwalika?
 
Huyo ni binti wa Kikurya,babake ni marehemu mzee Mkami wa pale Tarime juu bomani.

Mambo yaligubikwa na usiri mkubwa sana,I think Nape alikwishaoa kabla

Kishazaa naye watoto watatu..huyu binti anafanya kazi halmashauri ya,bagamoyo
 
Kumbe alikua ajaoa!!!!!!! Ndo maana muda wote alikua na wenge.
 
inasemekana,Kabla ya siasa Alishawahi kuoa,na alikuwa muumini wa kanisa la kipentekoste pale ilala,Amana vijana center.nadhani ni ndoa ya pili.
Mungu aibariki ndoa yake na changamoto za ndoa ukiwa mwanasiasa maarufu

We ni dini gani? Wakristo wanaoa mara mbili? Au kaoa kwa dc
 
huyo jamaa alishaoa, tena wakati akiwa hana kitu alihifadhiwa na baba mkwe wake Changanyikeni baada ya mambo kuanza kuwa mazuri akamtelekeza mke wake, nae akaamua kwenda nje ya nchi kujisahaulisha na kadhia za huyo jamaa.

Na mimi nakumbuka hivyo alikuwa anaishi na yule mwanamke kwenye apartments za baba mkwe ambaye alikuwa afisa mstaafu wa JWTZ.
 
hahaaa..jamani, muwawache walale...
 

Ki ukweli harusi ilikuwa safi sana japo sijashiriki lakini picha inajieleza kabisa.

HONGERA SANA!!!
 

Attachments

  • NAPE.jpg
    44.1 KB · Views: 3,563
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…