Kama kagiza hv.Alafu huo mkono mmoja ni gloves au???????
Nape. sikuhizi wenzio hawaoi mpaka mama aanze kutapika na kula ndimu. mbona sioni dalili hapa ?
Ana kijana mkubwa!Nape. sikuhizi wenzio hawaoi mpaka mama aanze kutapika na kula ndimu. mbona sioni dalili hapa ?
Alafu huo mkono mmoja ni gloves au???????
Ki ukweli harusi ilikuwa safi sana japo sijashiriki lakini picha inajieleza kabisa.
HONGERA SANA!!!
acha wivu wewe !!!!mbona kama bibi harusi anaonekana hamnazo..!
vijana waharibifu sana nyie, kuonja onja kabla kujakabidhiwa rasmi Mwenyezi Mungu hapendiNape. sikuhizi wenzio hawaoi mpaka mama aanze kutapika na kula ndimu. mbona sioni dalili hapa ?
utaambiwa ngombe hazeeki maini.Huyu mwanamke atakua kesha zaa mbona km bibi....usikute alienda kubariki tu..ndoa ilishafungwa kimila enzi za mkapa lol
Acheni ubaradhuli, mbona hamkuseema Dr alizaa kabakaji kadogo kadogo ka wake za watu!!!!!Ina maana baada ya muda tutemegee kuzaliwa kwa kafisadi kadogodogooooo....hongera zake mheshimiwa Nape. Ila ushauri wangu asipeleke siasa kwa binti wa watu., hapo nitamchapa viboko
Nape kamanda mnyika ulimwalika?[/QUOTE
Zamu ya mnyika sasa
Huyo haoi kwa sasa mpaka chadema iingie madarakani.
Tupe uhusiano wa Nape na Moses Nnauye hapo ndo tutaelewa swali lako.Hawa wanafamilia waliotajwa hapa walihudhuria?