Nape Moses Nnauye afunga ndoa

Nape Moses Nnauye afunga ndoa

Nape. sikuhizi wenzio hawaoi mpaka mama aanze kutapika na kula ndimu. mbona sioni dalili hapa ?

Huyu mwanamke atakua kesha zaa mbona km bibi....usikute alienda kubariki tu..ndoa ilishafungwa kimila enzi za mkapa lol
 
Duu akili hata haipo Kwenye harusi anawawaza Lissu tu hahhhahhha
 
Nape. sikuhizi wenzio hawaoi mpaka mama aanze kutapika na kula ndimu. mbona sioni dalili hapa ?
vijana waharibifu sana nyie, kuonja onja kabla kujakabidhiwa rasmi Mwenyezi Mungu hapendi
 
Kwa uelewa wangu Nape alishaoa siku nyingi na pete alikuwa anavaa, sasa sijui huyu ni mke mwingine au walifunga bomani, wadau wenye data mtujuze
 
Ina maana baada ya muda tutemegee kuzaliwa kwa kafisadi kadogodogooooo....hongera zake mheshimiwa Nape. Ila ushauri wangu asipeleke siasa kwa binti wa watu., hapo nitamchapa viboko
Acheni ubaradhuli, mbona hamkuseema Dr alizaa kabakaji kadogo kadogo ka wake za watu!!!!!
 
sasa binti ataitwa Mrs nani? kwa sababu Moses Nauye siyo baba yake Nape au Nepi
 
attachment.php
 
rais mtarajiwa wa tz via ccm.....ndomana kaamua kuoa.....
 
Back
Top Bottom