Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kwani Mh hana sifa nini za kudahiliwa mbona anatetewa kwa nguvu kubwa hivyo.Daah Mwanafunzi mmoja anatetewa huyo balaa kumbe jamaa hata Lungu la kuulia nyumbu hana ndio kwanza anataka kusota nalo kwa utetezi huu mpeni tu hiyo Degree hata mwakani...
Atakua hana sifa hivi vyuo ndio Waheshimiwa wanapita vichochoroni huko utasikia ana PhD...Vipi kwani Mh hana sifa nini za kudahiliwa mbona anatetewa kwa nguvu kubwa hivyo.
Na kweli, siyo lazima aende Chuoni.Daah Mwanafunzi mmoja anatetewa huyo balaa kumbe jamaa hata Lungu la kuulia nyumbu hana ndio kwanza anataka kusota nalo kwa utetezi huu mpeni tu hiyo Degree hata mwakani...
Asante Pro. Ngaruko kwa kutimiza agizo ila na wengine wasiokuwa mawaziri nao uwatetee kwa utaratibu huu mpya.
Kama watu wanapewa PhD bila kwenda Chuo wampe tuu...Na kweli, siyo lazima aende Chuoni.