Nape na Janu hawatapata hata udiwani mwaka 2025, Mwigulu endelea kuwa makini!

Nape na Janu hawatapata hata udiwani mwaka 2025, Mwigulu endelea kuwa makini!

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
278
Reaction score
255
Dkt. Mwigulu wewe unatakiwa kucheza vizuri tu na watu wako ambao wanasemwa semwa kuwania ubunge jimboni Iramba, usijaribu kumpuuza Prof. Kitila Mkumbo na Gwajima pia. Wapo kadhaa na wengine wameshajitambulisha mpaka level ya kitaifa chamani. Sitawataja hapa lakini jua wapo na ni watu smart kweli kweli - wengine ni vijana wadogo tu below 40yrs.
Unajaribu kuwa makini na kuepuka mitandao inayoanza kwa sasa ikiwepo mtandao wa Januari na Nape. Kuna mtandao pia wa Bashe na Musukuma lakini ninaona unajitahidi sana kujiondoa kwao. Pamoja na kuwa tabia zako ni taofauti sana na Juma Aweso pamoja na Doto Biteko lakini hao ndiyo unapaswa uwafuate kwa matendo na tabia zao. Ni wastaarabu wa hali ya juu, wanyenyekevu na wanajua uongozi kuwa sio ubabe au ubosi bali ni kuongoza kwa vitendo. Tabia zako zile za kutokeza kifua na kichwa chako kwenye gari na kuhutubia kama Mkuu wa nchi uziache. Tabia zako za kuongea KiNyiramba chetu ukiwa jimboni uziache kwani unafuatiliwa kwa karibu sana. Usijaribu tena kale katabia ka kujitangaza kwenye mawe nchi nzima. Zaidi ya yote yule mke wa mtu uliyempa uongozi chamani pamoja na elimu yake ya kuunga unga mwishowe atakudondosha, bahati mabaya hata ukuu wa wialaya hana sifa ya kupewa. Timu yako uliyoweka Iramba kukushindisha uchaguzi Iramba haipo kitaifa so ni rahisi sana sana kuparaganyishwa. Jiimarishe Kitaifa lakini kwa ajili ya kupata ubunge isiwe Urais. Kura za maoni ndani ya chama mwaka 2025 kwa jimboni kwako hazitatosha, utapaswa kupata huruma kutoka Taifani, onesha unyenyekevu kwake mama YETU.
Ninajua kweli kabisa kuwa wewe unaliwa timing yaani ukiteleza kidogo tu mwakani kabla ya Agosti, baada tu ya kupita Bajeti utaliwa kichwa mazima mazima na ubunge utapoteza. Kuwa makini POTI Mwigulu!
 
Dkt. wewe unatakiwa kucheza vizuri tu na watu wako ambao wanasemwa semwa kuwania ubunge jimboni Iramba, usijaribu kumpuuza Prof. Kitila Mkumbo na Gwajima pia. Wapo kadhaa na wengine wameshajitambulisha mpaka level ya kitaifa chamani. Sitawataja hapa lakini jua wapo na ni watu smart kweli kweli - wengine ni vijana wadogo tu below 40yrs.
Unajaribu kuwa makini na kuepuka mitandao inayoanza kwa sasa ikiwepo mtandao wa Januari na Nape. Kuna mtandao pia wa Bashe na Musukuma lakini ninaona unajitahidi sana kujiondoa kwao. Pamoja na kuwa tabia zako ni taofauti sana na Juma Aweso pamoja na Doto Biteko lakini hao ndiyo unapaswa uwafuate kwa matendo na tabia zao. Ni wastaarabu wa hali ya juu, wanyenyekevu na wanajua uongozi kuwa sio ubabe au ubosi bali ni kuongoza kwa vitendo. Tabia zako zile za kutokeza kifua na kichwa chako kwenye gari na kuhutubia kama Mkuu wa nchi uziache. Tabia zako za kuongea KiNyiramba chetu ukiwa jimboni uziache kwani unafuatiliwa kwa karibu sana. Usijaribu tena kale katabia ka kujitangaza kwenye mawe nchi nzima. Zaidi ya yote yule mke wa mtu uliyempa uongozi chamani pamoja na elimu yake ya kuunga unga mwishowe atakudondosha, bahati mabaya hata ukuu wa wialaya hana sifa ya kupewa. Timu yako uliyoweka Iramba kukushindisha uchaguzi Iramba haipo kitaifa so ni rahisi sana sana kuparaganyishwa. Jiimarishe Kitaifa lakini kwa ajili ya kupata ubunge isiwe Urais. Kura za maoni ndani ya chama mwaka 2025 kwa jimboni kwako hazitatosha, utapaswa kupata huruma kutoka Taifani, onesha unyenyekevu kwake mama YETU.
Ninajua kweli kabisa kuwa wewe unaliwa timing yaani ukiteleza kidogo tu mwakani kabla ya Agosti, baada tu ya kupita Bajeti utaliwa kichwa mazima mazima na ubunge utapoteza. Kuwa makini POTI Mwigulu!
Dkt Mwigulu hana adabu kabisa, huwezi kuwaambia watanzania wahamie Burundi kisa eti wamehoji kwa nini kuna tozo. Pia kachangia sana kuharibu image ya Dkt Samia kwa kuhakikisha gharama za maisha zinapanda, hasimamii makusanyo na kibaya kabisa ushauri wake kwa rais ni wa kumuaminisha rais kukupa badala ya kuhakikisha mapato ya ndani yanaongezeka ili kupunguza kukopa. Labda aombe msamaha na pia aende kulia kwenye kaburi la Dkt Magufuli kwa dhihaka yake.
 
Dkt Mwigulu hana adabu kabisa, huwezi kuwaambia watanzania wahamie Burundi kisa eti wamehoji kwa nini kuna tozo. Pia kachangia sana kuharibu image ya Dkt Samia kwa kuhakikisha gharama za maisha zinapanda, hasimamii makusanyo na kibaya kabisa ushauri wake kwa rais ni wa kumuaminisha rais kukupa badala ya kuhakikisha mapato ya ndani yanaongezeka ili kupunguza kukopa. Labda aombe msamaha na pia aende kulia kwenye kaburi la Dkt Magufuli kwa dhihaka yake.
Usijitie upofu. Samia na Mwigulu ni pipa na mfuniko respectively.
 
Dkt. Mwigulu wewe unatakiwa kucheza vizuri tu na watu wako ambao wanasemwa semwa kuwania ubunge jimboni Iramba, usijaribu kumpuuza Prof. Kitila Mkumbo na Gwajima pia. Wapo kadhaa na wengine wameshajitambulisha mpaka level ya kitaifa chamani. Sitawataja hapa lakini jua wapo na ni watu smart kweli kweli - wengine ni vijana wadogo tu below 40yrs.
Unajaribu kuwa makini na kuepuka mitandao inayoanza kwa sasa ikiwepo mtandao wa Januari na Nape. Kuna mtandao pia wa Bashe na Musukuma lakini ninaona unajitahidi sana kujiondoa kwao. Pamoja na kuwa tabia zako ni taofauti sana na Juma Aweso pamoja na Doto Biteko lakini hao ndiyo unapaswa uwafuate kwa matendo na tabia zao. Ni wastaarabu wa hali ya juu, wanyenyekevu na wanajua uongozi kuwa sio ubabe au ubosi bali ni kuongoza kwa vitendo. Tabia zako zile za kutokeza kifua na kichwa chako kwenye gari na kuhutubia kama Mkuu wa nchi uziache. Tabia zako za kuongea KiNyiramba chetu ukiwa jimboni uziache kwani unafuatiliwa kwa karibu sana. Usijaribu tena kale katabia ka kujitangaza kwenye mawe nchi nzima. Zaidi ya yote yule mke wa mtu uliyempa uongozi chamani pamoja na elimu yake ya kuunga unga mwishowe atakudondosha, bahati mabaya hata ukuu wa wialaya hana sifa ya kupewa. Timu yako uliyoweka Iramba kukushindisha uchaguzi Iramba haipo kitaifa so ni rahisi sana sana kuparaganyishwa. Jiimarishe Kitaifa lakini kwa ajili ya kupata ubunge isiwe Urais. Kura za maoni ndani ya chama mwaka 2025 kwa jimboni kwako hazitatosha, utapaswa kupata huruma kutoka Taifani, onesha unyenyekevu kwake mama YETU.
Ninajua kweli kabisa kuwa wewe unaliwa timing yaani ukiteleza kidogo tu mwakani kabla ya Agosti, baada tu ya kupita Bajeti utaliwa kichwa mazima mazima na ubunge utapoteza. Kuwa makini POTI Mwigulu!
umesahau kumtag waheshimiwa
@ Dr mwigulu nchemba
 
Usijitie upofu. Samia na Mwigulu ni pipa na mfuniko respectively.
Hapana kabida big No! Dkt Samia kadanganywa sana na Dkt Mwigulu na yeye alikuwa hajui na mpaka sasa bado anaendelea kumlaghai Dkt Samia.
 
Usicho kijua kuhusu Mwiguru ni kua yeye hua ni royal sana kwa Mkulu wa nchi wa wakati huo.

Na ikitokea kutumbuliwa basi ni kwa sababu za kiuwajibikaji kazini lkn sio kwa utovu wa nizamu na uhuni kama akina february.

Na kwa sababu 2025 ni uchaguzi, sio garantee yakwamba yeye ndo ashinde either kula za maoni au uchaguzi mkuu.

Asimpo kua smart, analiwa kichwa tu
 
Hapana kabida big No! Dkt Samia kadanganywa sana na Dkt Mwigulu na yeye alikuwa hajui na mpaka sasa bado anaendelea kumlaghai Dkt Samia.
Raia wa JF wanasema Samia anadangwanya, yeye hajui kama anadanganywa, vyombo vyote vya ulinzi na usalama havijui Rais anadanganywa. NIKWELI?
 
Raia wa JF wanasema Samia anadangwanya, yeye hajui kama anadanganywa, vyombo vyote vya ulinzi na usalama havijui Rais anadanganywa. NIKWELI?
Kwa mawazo yangu ya kishamba ni kuwa kulikuwa na mfumo wa kumlaghai Dkt Samia, ndiyo maana kafurumusha mpakq watu wake wa ikulu, maana inawezekana rushwa ilikuwa inatembea kila anapostukia akitegemea wanaomshauri amtoe makamba au nape au mwigulu au bashe, hivyo wahusika wanapewa hela matokeo yake wanamuambia awaache, ila game kalistukia katimua kwanza inner circle, sasa ni kushughulika na hao waliobaki. Mwigulu na bashe ndiyo wambaki kuwa inner circle mbaya kabisa inayomdanganya Dkt Samia. Ni waongo na wasaka urais wanafanya kila wawezalo
 
Back
Top Bottom