Nape na January Makamba mpaka sasa sijaona shukrani zenu kwa rais Samia kwa kuwapa dhamana mlizokuwa nazo, je ni nongwa ya kutumbuliwa?

Nape na January Makamba mpaka sasa sijaona shukrani zenu kwa rais Samia kwa kuwapa dhamana mlizokuwa nazo, je ni nongwa ya kutumbuliwa?

Kawaida ninavyofahamu mimi mamlaka ya uteuzi ina weza teua na kutengua bila kuhojiwa, nilitegemea vijana hawa kwa maana ya January Makamba, Nape Nnauye na Byabato wamshukuru Rais Samia kwa dhamana walizotumikia, lakini naona kimya.

Je, hawaamini kama cheo ni dhamana?
Umejuaje kama hawajamshukuru
 
Hii ni ya enzi za Magufuli tena nakumbuka Mzee Mwinyi alimaind sana picha yake kutumika wakati huo (Makamba alivyofutwa kazi na Jiwe) ikizingatiwa picha yenyewe ilichukuliwa miaka mingi nyuma ktk tukio jengine kabisa.
Kiukweli hawa akina Makamba, Nape na Byabato wamemdharau mama, wanaona ilikuwa ni haki yao wao kuendelea kuwa mawaziri kana kwamba nchi hii ni ya baba zao.
Ninajua: Kama wakati huo alıtoa tamko kwa nini asifanye hivyo sasa?
 
nadhani hakuna haja kubebeana misalaba 🐒
Haya wasalimie huko wengine sahv tunaelekea hukuuuu
Endeleeni kuwapigia vyapuo wenzenu 😄

Ova
 

Attachments

  • IMG-20240723-WA0020.jpg
    IMG-20240723-WA0020.jpg
    126 KB · Views: 4
Hao vijana ukiona wanatoa Shukrani kwako jipange haraka haraka. Ni watoto wa mjini , waswahili,wafitini . Wakishamaliza kukusoma vzr ,wanarudi kuomba radhi. Rejea Kwa Jpm
 
Back
Top Bottom