Nape na Makamba mlikuwa mkisoma vyema Mada zangu mbalimbali hapa JamiiForums za Kuwahusu na Kuwaonyeni au nanyi mlikuwa mnanipuuza?

juzi ukajichanga kwa Ujuha wako
Nafikiri ile kauli haikutoka kwa bahati mbaya, kuna kitu alinusa, sitaki kuamini kuwa walikuwa hawajui nini kinakuja mbele yao!

Kingine naona kama wanarudishwa kwenye kazi za chama coz Makala na company yake naona kama hawachezi na bit coz of umri na mipango mikakati ya baadaye!

Au mama anaamua kuyamaliza makundi yote na mwisho abaki na kundi lake tu! Naona mtoto pendwa wa Rostam anazidi kupeta! Vipi, anaandaliwa nyadhifa kubwa? Ni mtazamo tu!
 
Mtoto wa rostam ni yupi mkuu
 
Kitakachotokea kule Bumbuli , jina la Makamba halitarudi, CCM wameshampata dogo mmoja Safi. Yaani pamoja na kwamba Makamba ana hela nyingi Sana na anaamini Sana masangoma na anapenda Sana wanawake lakini ajue this is the beginning of the end.
Sipendagi kabisa hata kukiona kile kijamaa hivi lazima wawe wanasiasa ukoo mzima jamani? Kwa hili mama pongezi sana kutondelea hivi vifisadi
 
mmepigwa kingi mmeingia kichwa kicha ....eti mliandika....... sayansi ya siasa ni pana sana. Tupo kwenye series za matukio lakini macho ya vipofu yatafunguka alfajiri
 
Pole ya nini wananchi tulipiga kelele tangu day one mama kama kawa kajipachika uchura kiziwi
 
Makamba anaenda kuwa mwenyekiti wa Commission ya Africa
 
Sipendagi kabisa hata kukiona kile kijamaa hivi lazima wawe wanasiasa ukoo mzima jamani? Kwa hili mama pongezi sana kutondelea hivi vifisadi
Makamba na Nape bila Shaka mmejiridhisha kwamba hampendwi na watanzania kwa tabia zenu. Najua mnasoma hizi comment. Hebu na wewe Makamba toa ya moyoni mwako, Nape bado atakua na hangover sijui hata Kama anajua Kama ametumbuliwa.
 
mmepigwa kingi mmeingia kichwa kicha ....eti mliandika....... sayansi ya siasa ni pana sana. Tupo kwenye series za matukio lakini macho ya vipofu yatafunguka alfajiri
Hujawahi kumiliki Akili tokea Uzaliwe hivyo wala hunisumbui.
 
Kitakachotokea kule Bumbuli , jina la Makamba halitarudi, CCM wameshampata dogo mmoja Safi. Yaani pamoja na kwamba Makamba ana hela nyingi Sana na anaamini Sana masangoma na anapenda Sana wanawake lakini ajue this is the beginning of the end.
Akahonga mzungu gari ya mil 600
 
Makamba na Nape bila Shaka mmejiridhisha kwamba hampendwi na watanzania kwa tabia zenu. Najua mnasoma hizi comment. Hebu na wewe Makamba toa ya moyoni mwako, Nape bado atakua na hangover sijui hata Kama anajua Kama ametumbuliwa.
Na kama washkaji zako waambie ole wao waonyeshe kinyongo ,mama hataki immaturity kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…