Nape: Nafurahishwa na mjadala mkubwa unaoendelea juu ya operesheni anwani za makazi

Nape: Nafurahishwa na mjadala mkubwa unaoendelea juu ya operesheni anwani za makazi

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
MJADALA MKUBWA

IMG-20220412-WA0108.jpg
 
Safi muheshimiwa nape nimependa response yako ya haraka na bila kinyongo. Kwakweli kinacho endelea ni ukosoaji wa matumizi makubwa yasiyo endana uchumi wetu hasa kwakuwa uhamasishaji huu ungeweza kufanywa kwa njia za vyombo vingi vya habari ikiwemo mechi za ligi kuu na mashindano ya ngumi wakati wa bunge live. Mfano dakika moja mbunge kabla ya kuchangia ahimize swala makazi ndio aendelee mbona tungefanikiwa
 
BASI BAADHI YA NAFASI ZA KIUTENDAJI ZIFUTWE MAANA WAHUSIKA HAWAFANYI KAZI ZOZOTE,AU KUYAFANYIA KAZI MATAMKO TOKA JUU.
 
Kuna suala la gharama za safari zake kwenye zoezi hili.

Kwanini wakuu wa mikoa wasifanye hayo anayotaka kuyafanya Nape?

Vipi pesa za kulipia safari hii si matumizi mabaya ya fedha?
Serikali ya CCM haijawahi kuona uchungu na pesa ya mlalahoi mlipa kodi wa mTanzania.!
 
Mabango kama hilo alilolishika Nape yaliishawekwa kwenye baadhi ya mikoa hasa Dar es salaam. Zoezi lilifanyika miaka mitano nyuma na anwani zilizotambuliwa na kupewa majina ya mitaa zilitumika kwenye sensa iliyopita, hizi gharama kubwa za uhamasishaji upya zina msukumo gani nyuma yake? ... Kama zoezi lilisitishwa na sasa limeanza upya kwa waliokwamisha wasishitakiwe?
 
Swali hapa linakuja Nape ni waziri wa michezo huko kwenye maswala ya Sensa anaahusika vipi ?

Na hili swala najua lipo chini ya tume why awe Nape na sio wahusika?
 
Hali ingekuwa nzuri mtaani watu wasingeangaika na mambo madogo kama hayo.

Hizo ni salamu kutoka kwa watanzania jinsi anasa za aina yoyote serikalini ni kama ‘kuwapaka chumvi kwenye vidonda vyao’.

Halafu kuna mkurugenzi alianda na office party kabisa ya uzinduzi wa mfumo wa kazi, how stupid.
 
Swali hapa linakuja Nape ni waziri wa michezo huko kwenye maswala ya Sensa anaahusika vipi ?

Na hili swala najua lipo chini ya tume why awe Nape na sio wahusika?
Akili yako ipo sawa kweli wewe? Au bangi? Ndorobooooo!!!
 
Back
Top Bottom