JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,392
- 1,578
Hii nchi watanzania hatujawah kasirika tungejatibu hata Leo ungeona kama huyo pimbi na waliomtuma kama wangeendelea na oparation ya kijinga kama hiyo.Hawa akina Nape walitoka sana povu kwamba awamu ya tano ilitumia fedha vibaya kwa hiyo kwake haya ndio matumizi sahihi ya fedha za umma.mjinga akiadvance ni shida sana anageuka kuwa mpumbavu tu.